manSniper
JF-Expert Member
- Sep 9, 2015
- 814
- 678
hawa skol juzi Makonda kawasimamisha kuchukua tenda mkoa wa Dar watu wakalalamika wameonewa sasa hili la leo la kuwa wamekua wakikwepa kodi toka mwaka 2010 wanadaiwa mabilion ya ela hii kampun nan alikua anawapa kaburi maana ilikua inakuja kwa kasi sana na kazi zao mbovu kabisa barabara walizotengeneza ni mbovu sana ebu bodi ya makandaras waifute hii kampun