Skendo ya Sukari Yaendelea Kugawa Wabunge

Skendo ya Sukari Yaendelea Kugawa Wabunge

makubwa! Leo hii amekuwa mwizi? Kilichokuwa kinawafanya mseme ni mzalendo na kiongozi bora ajaye wa tz enzi za migogoro CHADEMA ni kitu gani,kama sio ushen*zi wenu na unafiki wenu lumumba B7,ukiwemo wewe,Lizaboni,Fazafoxy,Thatha,mjepo,Ritz,msalani nk.

Hii ni list ya mashoga a.k.a wan
g.e.s.e.
 
mleta mada una uwezo mkubwa sana ya kucheza na akili za wajinga(BAVICHA) ONA JINSI WANAVYOHEMKWA..
ingawa ulichopost ni majungu na mbwembwe za kiuandishi, umewaweza kwa kuambatanisha na mistari michache yenye ukweli.. hivi unajua kanuni ya FREEMASONS!! INASEMA ''thesis + ant-thesis= synthesis ''' au kwa maneno mengine ni kwamba ''UONGO MWINGI +UKWELI KIDOOOOGO=UONGO WOOOTE.
HAHAHAHAAAAA BAVICHA kweli vichwa maji
 
waziri MKUU MIZENGO PINDA UNA ROHO MBAYA KAMA HIYO SURA YAKO

ETI HUKU UNAJIITA NI MTOTO WA KUMLIMA KUMBE NDIE JIZI KUBWA WEE SURA MBAYA

UMESALIMIKA KWENYE ESCROW

HII YA SUKARI HAIKUACHI SALAMA HII

ETI ANATAKA KUWA RAIS WA NCHI HII...

THUBUTUUU...!!
 
Heeh mkuu Shondola huyu Asumpta apeleke hoja binafsi ni yuleyule Mtetezi wa Escroo au mwingne???
 
Heeh mkuu Shondola huyu Asumpta apeleke hoja binafsi ni yuleyule Mtetezi wa Escroo au mwingne???
Hiyo hoja wamempa makusudi huyo mama ili waizuie.

Nia kuwazuia wabunge makini washindwe kwa kuwa itaonekana ililetwa ikaondolewa.
 
waziri MKUU MIZENGO PINDA UNA ROHO MBAYA KAMA HIYO SURA YAKO

ETI HUKU UNAJIITA NI MTOTO WA KUMLIMA KUMBE NDIE JIZI KUBWA WEE SURA MBAYA

UMESALIMIKA KWENYE ESCROW

HII YA SUKARI HAIKUACHI SALAMA HII

ETI ANATAKA KUWA RAIS WA NCHI HII...

THUBUTUUU...!!

Acha Jazba, Nwanaume awe mzuri ili iweje, kwani wee shoga,ana roho mbaya kwa lipi, kwani roho nzuri inakaa kwa watu wenye sura zanamna gani, Acha kwanza bangi ndo uje kuchangia Jf kama unaasira siukamfesi uso kwa uso "Big show" acha kuchekesha.
 
ndo maana kumbe sukari imepanda bei hadi 2500,kumbe na huko wameiba sukari pia?

Hapa Zanzibar sukari ni Tsh 1200-1400 tu kwa kilo. Bwana Turkey aliingiza sukari nyingi sana toka nje ikashusha bei ya sukari zilizokuwa zinazalishwa na viwanda vya ndani. Nashindwa kuelewa inakuwaje huko mnauziwa bei kubwa hivyo sukari!!
 
mkuu Simiyu yetu,Chuki yako kwa ZZK kukuchukulia mkeo bado haijaisha tu?nasikia mkeo anasema hapendi wanaume wasio na akili ku mukichwa,ndio maana akafa kwa dogo ZZK
 
Hii nchi bana sijui tuagize viongozi nje ya nchi waje hapa kutusaidia
 
mleta mada una uwezo mkubwa sana ya kucheza na akili za wajinga(BAVICHA) ONA JINSI WANAVYOHEMKWA..
ingawa ulichopost ni majungu na mbwembwe za kiuandishi, umewaweza kwa kuambatanisha na mistari michache yenye ukweli.. hivi unajua kanuni ya FREEMASONS!! INASEMA ''thesis + ant-thesis= synthesis ''' au kwa maneno mengine ni kwamba ''UONGO MWINGI +UKWELI KIDOOOOGO=UONGO WOOOTE.
HAHAHAHAAAAA BAVICHA kweli vichwa maji

Unanikumbusha porofesa muhongo, wenzio walianza hivi hivi kumtetea, walikuwa na kejeli za stail sawa na kuzidi kidogo zako hatimaye tunajua nini kimemtokea muhongo, nawe endelea kuuchezea mkia wa mbwa unasubiri kuonyeshwa mkunduwe.
 
Huyo lukuvi hajaripoti huko ardhi mpaka sasa? Au mwandishi amekariri.
 
CcHiyo hoja apewe mtu mwingine kuwasilisha siyo asumpta mshama.huyu mama chui aliyevaa ngozi ya kondoo.nakumbuka alivyohongwa kutetea majambazi ya escrow account. Hafai hata kwa kachumbari huyu mnafiki sana.
 
Ni pesa tu humu zinawagawa wabunge,wako wanaofaidika na wafanyabiashara waagizaji wa nje na wako wabunge wamepata mgao toka kwa wenye viwanda nchini. Vita hii wanaoumia ni watumiaji/walaji wa sukari,hapo wanalinda matajiri na si walaji. Sukari itafika Tsh 3000 na mtaenda mikutanoni kuwapigia makafi wanaojiita wazalendo. Hovyooooooo watz
 
Unaongea kimwehumwehu sidhani kama zimetimia kumkichwa wewe.

bange za kuvutia chooni ndo madhara yake.gamba kubwa usio na haya.wenzio wanagawana mamilion we na faizafox pamoja na team lumumba wooote mnawatetea
 
Back
Top Bottom