Siyo Siri CHADEMA Imepata Jeraha


Sasa kama wanajua sili nyingi mbona hawakutoka paka walipotimliwa?hao wasaliti hawafiki popote?
 
Duuh hii kali - "Kumpiga chura teke ni kumpunguzia safari"
 
Ni kweli ndio maana wanaipeleka puta ccm angalia na chadema wasipelekwe puta na ACT maana hali ilivyo vyama vya upinzani bada la ya kuwa marafiki sasa ni maadui

vyama vya upinzani mbona tayari ni marafiki na wana umoja unaitwa ukawa?hivyo vingine sio vyama vya upinzani na matawi ya ccm
 
Ati wanajidai wako makini!
Hawajui siasa ni kuvumiliana kwa lengo kubwa zaidi, CCM pamoja na madudu ya Lowassa inaishia kutoa natamko tu lakini hawawezi kumtimua.
Hiyo ndo siasa.
Siyo siri, wamejeruhiwa.

Na ndomaana Hata huko Serikalini Pia wanalindana Na Kukwapua Mabilioni ya Hela Bila ya Hatua zozote. Chadema ni chama cha Kuwatetea Wanyonge,Unapoonekana Msaliti kwa Wananchi na Mwizi huna Budi Kuondoka. Hatufugi wezi,Mafisadi,Wala Rushwa,Majangili na Wauza Sembe na ndo maana Tunawachomoa mapema ili wasije kulisaliti Taifa Wakati tumeichukua Dola October. Upo?
 

chadema mnajua kujifariji mpaka raha maana kumeza ukweli ni ngumu.
 
Huyu chura wala hata hafai aende zake tu hana maana
 
ukosefu wa nidhamu na matusi na jazba ni tatizo chadema

naangalia bunge hapa lema anapita mbele ya spika kama anaenda sokoni kilombero mpaka spika anamwambia vipi mbona unamkata spika?
huyu jamaa yupo vizuri kichwani hivi au anapuliza?
 

mambo haya yakutane na wenye akili, lakini wenye upeo mdogo ni shida. mpaka sasa CHADEMA hakijui kina wanachama wangapi.ACT-WAZALENDO, hakipo kupunguza chamachochote bali kuleta tumaini jipya kwa watanzania.
 
malengo ya chadema yameshafikiwa ni kula ruzuku tuu
 
mambo haya yakutane na wenye akili, lakini wenye upeo mdogo ni shida. mpaka sasa CHADEMA hakijui kina wanachama wangapi.ACT-WAZALENDO, hakipo kupunguza chamachochote bali kuleta tumaini jipya kwa watanzania.

Kwa utafiti gani unaokuonesha CHADEMA haijui ina wafuasi au Wanachama wangapi?
 
Kwa vyovyote vile chadema wamepoteza kura nyingi sana maana watu wengi wanaojiunga ACT wanatoka chadema.
Kwa taarifa yako wanaojiunga cdm ni wengi kuliko wanaotoka cdm.watz wote wanaojitambua wanakimbilia cdm+ ukawa
 
chadema mnajua kujifariji mpaka raha maana kumeza ukweli ni ngumu.

Kwa act uongo ndio ukweli na ukweli ni uongo. Hapo ndipo tunapoconclude kuwa ninyi ni ccm n not otherwise!
 

Uwatake radhi wa tz kwa kuwaita wachaga maana cdm inapatikana kila kona ya nchi hii kwa makabila yote .
 
CHADEMA wanafanya kazi kwa kuongozwa na hisia sana. Kwa nchi zilizoendelea hata kama mwanasiasa amethibitika anakihujumu chama, ila as long as ana impact ndani na nje ya chama, sometimes its normal to work with the devil!
Hawana uvumilivu kwa wasaliti kama vile wewe usivyokua na uvumilivu kwa kila kitu unaendeshwa na hisia Kama jina lako unavyojiita " patient zero"
 
CHADEMA wanafanya kazi kwa kuongozwa na hisia sana. Kwa nchi zilizoendelea hata kama mwanasiasa amethibitika anakihujumu chama, ila as long as ana impact ndani na nje ya chama, sometimes its normal to work with the devil!
Unaweza kutuwekea fact za impact ya Zitto ndani ya CHADEMA na tuanzie kwenye jimbo lake na mkoa wa Kigoma.
 
kweli act chama chawasiojielewa nn tafsiri ya msemo huu?"kumpiga teke chura ni kumpunguzia safari" poor zzk
 
vyama vya upinzani mbona tayari ni marafiki na wana umoja unaitwa ukawa?hivyo vingine sio vyama vya upinzani na matawi ya ccm

Inamaana ukielewana na cdm mpinzani lakini kama uelewani nao unageuka kuwa shoga au ccm b?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…