Siyo Lindi tu hata Kunduchi Mtongani Watoto wengi hutembea Pekupeku, Sijajua kama ni Umaskini au Uswahili tu!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,035
142,131
Kwa mara ya kwanza kuona WATU wanatoa Zawadi ya Viatu ilikuwa mkoani Tanga ambako mbunge Mmoja wa viti maalumu alitoa Zawadi ya Viatu kwa wananchi

Ila nimeshuhudia hata Kunduchi Mtongani hadi kule Soko la Samaki Watoto ni Mwendo wa Pekupeku tu kule Pwani ndio kabisa hadi baba zao hawavai hata Yeboyebo

Tatizo ni nini?

Mlale unono 😀😀
 
Write your reply...NJO TANGA HANDENI KILINDI WAZIGUA VIATU HAWAJUI C WATOTO HATA WAKUBWA.
 
Njoo hapa tandika mtaani kwetu uwaone wadada wako peku peku wamevaa vijora tu hakuna cha zaidi walichovaa!
Si miguuni wala maungoni.
Na wala hawajali.
 
Kwa mara ya kwanza kuona WATU wanatoa Zawadi ya Viatu ilikuwa mkoani Tanga ambako mbunge Mmoja wa viti maalumu alitoa Zawadi ya Viatu kwa wananchi...
Wanasema kutembea peku ni dawa nzuri sanaaa kwa mwili wa binadamu

Ila nasubiri majibu mazuri zaidi
 
Kwani hiyo  kunduchi ipo maeneo gani hapa Ushirombo...??🤔
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom