Siyo kwa sekta ya usafirishaji kila Serikali ikipandisha bei ya nishati ya mafuta nanyi pandisheni gharama za usafirishaji

nguruka wa kig0ma

JF-Expert Member
Jan 16, 2020
2,946
2,929
Inanishangaza sana hii serikali ya sisim!
Ukienda Uganda,Congo,Zambia na Rwanda bei ya nishati hiyo IPO chini ukilinganisha na bei ya hapa nchini.

Nchi hizi nilizotaja mafuta yao yanapita hapa kwenye bandari yetu wanayalipia ushuru na gharama zingine.

Lakani sisi bandari ni yetu kama haitoshi yakifika hapa hakuna gharama zingine za kuyasafirisha.

Serikali ya ccm ni jini subiani linalonyonya damu ya watanzania kwa kufanyia ugumu was maisha.

Sasa kwenye vyombo vya usafirisha,mabasi,malori,bodaboda na vyombo vingine kila serikali ikipandisha bei ya mafuta nanyi iungeni mkono kwa kupandisha gharama za usafirishaji.

1.Ili mpate japo faida kidogo
2. Ccm itachukiwa na kuondolewa2025 kwakuwa maisha yatapanda
3. Kwakufanya hivyo watanzania watarudiwa na akili ambazo ccm imezipora.
Hii ni sirsiraha mojawapo ccm itaondoka
 
Inanishangaza sana hii serikali ya sisim!
Ukienda Uganda,Congo,Zambia na Rwanda bei ya nishati hiyo IPO chini ukilinganisha na bei ya hapa nchini.

Nchi hizi nilizotaja mafuta yao yanapita hapa kwenye bandari yetu wanayalipia ushuru na gharama zingine.

Lakani sisi bandari ni yetu kama haitoshi yakifika hapa hakuna gharama zingine za kuyasafirisha.

Serikali ya ccm ni jini subiani linalonyonya damu ya watanzania kwa kufanyia ugumu was maisha.

Sasa kwenye vyombo vya usafirisha,mabasi,malori,bodaboda na vyombo vingine kila serikali ikipandisha bei ya mafuta nanyi iungeni mkono kwa kupandisha gharama za usafirishaji.

1.Ili mpate japo faida kidogo
2. Ccm itachukiwa na kuondolewa2025 kwakuwa maisha yatapanda
3. Kwakufanya hivyo watanzania watarudiwa na akili ambazo ccm imezipora.
Hii ni sirsiraha mojawapo ccm itaondoka

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Modes nirekebishie neno siyo weka wito

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Huku kwenye daladala wamekuwa na ustahimilivu mkubwa vinginevyo watu kama watumishi wangepata tabu na nauli za kwenda na kurudi kila siku kazini ukichukulia mwaka wa saba huu mishahara haijapandishwa.....
 
Back
Top Bottom