Nilikuwa clubhouse na nimevutiwa sana na jinsi Sixtus Mapunda alivyoweza kujibu maswali mbalimbali kuhusu siasa na CCM. Very composed, well informed na hata akitetea uongo anautetea kisayansi zaidi.
Abdul Nondo amejaribu kumtikisa lakini wapi na mwishowe nilifurahishwa na msimamo wake kuhusu haki ambapo naye alikiri ya kuwa "kwa sasa Polisi wana haki zaidi kuliko watuhumiwa".
Abdul Nondo amejaribu kumtikisa lakini wapi na mwishowe nilifurahishwa na msimamo wake kuhusu haki ambapo naye alikiri ya kuwa "kwa sasa Polisi wana haki zaidi kuliko watuhumiwa".