Sixtus Mapunda amvaa Msigwa Iringa, Vijana wasukuma gari yake

Sixtus Mapunda amvaa Msigwa Iringa, Vijana wasukuma gari yake

Kuna watu ukiwauliza hapo hilo gari tulilokuwa tunalisukuma alikuwemo nani hawajui kwa sababu wameambiwa mkiona gari mkimbie mlisukume na wengi ni watoto wa mabalozi wa nyumba kumi.
 
Rimekura rimeshiba rinakuja kutuchefua tu hiro riache ripite zake rijinga hiro haya kakojoe urare xaxa
 
lazima msigwa achokwe kwa sababu siyo ccm! Ila wanairinga ambao siyo ccm wanampenda
 
title yako tungo tata,inamaana zaid ya moja.moja,gari la msigwa ndo lilisukumwa.mbili,msigwa alisukuma gar la maccm iringa.tatu,msigwa alisukuma gari lake mbele ya maccm iringa.nne,maccm yalisukuma gar la msigwa. na tano
 
Watatumia pesa nyingi sana bila mafanikio natabiri kuna baadhi ya viongozi wengi sana wa ccm watafilisika na kufa kwa presh
 
majiziccm kwel yana mawazo mgando...eti gari imesukumwA huku wakiimba...nani kakwambia iringa kunamaviccm?? kumtoa chadema pale ni sawa na kutamani jua lichomoke usiku wa manane...chadema ndio mtawala wa kudumu hapa iringa..
 
Hivi serikali ya mitaa imekuwaje hapo mjini Iringa?
 
Waliandaliwa, wakavaa sare za chama baadhi, wakatafuta camea boy wakakaa wakisubiri jamaa atokee, wakamsukuma wakiimba. kisha kila mtu akapokea chake movie ikaisha.
 
Tunamskukuru kwa kutoa ajira za muda mfupi, tunaomba anaporudi tena apite na awalipe watu kusukuma gari lake. hii inasaidia angalau hela wanazoiba zinatufika japo kwa kiwango kidogo.
 
alichowafanya uchaguzi wa serikali za mtaa huyo msigwa wacha wana ccm iringa wamchoke
 
Mwaka huu ni mwaka wa watu wa iringa mjini kula pesa za maccm! Ccm watamwaga pesa nyingi sana kama rushwa iringa mjini ili kuwahonga wananchi.
 
Duuh kazi kwel kwel,ccm fursa zipo tatizo uaminifu ni f!!
 
Back
Top Bottom