Tetesi: Sixtus Mapunda Akamatwa na TAKUKURU

Status
Not open for further replies.

Pagan Amum

JF-Expert Member
Aug 28, 2015
1,932
4,395
Sasa naamini serikali na vyombo vya dola vipo kazini. Jana mara baada ya UVCCM kutoa taarifa za ufisadi za Suxtus Mapunda (aliyekuwa katibu mkuu wa jumuia hiyo, na kwa sasa ni mbunge wa Mbinga), leo kakamatwa na Takukuru kwa mahojiano zaidi na ikibidi kufikishwa mahakamani mapema iwezekanavyo..

Wakati huo huo Mdada Seki na aliyekuwa katibu katibu wa uvccm, Iringa wakiendelea kutafutwa.

Mytake: Chini ya Magufuli hakuna fisadi atakayebaki salama..
 
Sasa naamini serikali na vyombo vya dola vipo kazini. Jana mara baada ya UVCCM kutoa taarifa za ufisadi za Suxtus Mapunda (aliyekuwa katibu mkuu wa jumuia hiyo, na kwa sasa ni mbunge wa Mbinga), leo kakamatwa na Takukuru kwa mahojiano zaidi na ikibidi kufikishwa mahakamani mapema iwezekanavyo..

Wakati huo huo Mdada Seki na aliyekuwa katibu katibu wa uvccm, Iringa wakiendelea kutafutwa.

Mytake: Chini ya Magufuli hakuna fisadi atakayebaki salama..
Tuone kama nyumba za serikali zitarudishwa!!!
Na mhusika kutinduliwa hadharani.
 
Sasa naamini serikali na vyombo vya dola vipo kazini. Jana mara baada ya UVCCM kutoa taarifa za ufisadi za Suxtus Mapunda (aliyekuwa katibu mkuu wa jumuia hiyo, na kwa sasa ni mbunge wa Mbinga), leo kakamatwa na Takukuru kwa mahojiano zaidi na ikibidi kufikishwa mahakamani mapema iwezekanavyo..

Wakati huo huo Mdada Seki na aliyekuwa katibu katibu wa uvccm, Iringa wakiendelea kutafutwa.

Mytake: Chini ya Magufuli hakuna fisadi atakayebaki salama..
hahahaha endelea kuota
 
Sasa naamini serikali na vyombo vya dola vipo kazini. Jana mara baada ya UVCCM kutoa taarifa za ufisadi za Suxtus Mapunda (aliyekuwa katibu mkuu wa jumuia hiyo, na kwa sasa ni mbunge wa Mbinga), leo kakamatwa na Takukuru kwa mahojiano zaidi na ikibidi kufikishwa mahakamani mapema iwezekanavyo..

Wakati huo huo Mdada Seki na aliyekuwa katibu katibu wa uvccm, Iringa wakiendelea kutafutwa.

Mytake: Chini ya Magufuli hakuna fisadi atakayebaki salama..
kuna tofauti ya kuhojiwa na kushitakiwa na kuhukumiwa!
 
Sasa naamini serikali na vyombo vya dola vipo kazini. Jana mara baada ya UVCCM kutoa taarifa za ufisadi za Suxtus Mapunda (aliyekuwa katibu mkuu wa jumuia hiyo, na kwa sasa ni mbunge wa Mbinga), leo kakamatwa na Takukuru kwa mahojiano zaidi na ikibidi kufikishwa mahakamani mapema iwezekanavyo..

Wakati huo huo Mdada Seki na aliyekuwa katibu katibu wa uvccm, Iringa wakiendelea kutafutwa.

Mytake: Chini ya Magufuli hakuna fisadi atakayebaki salama..

Lugumi yuko wapi???
 
Halafu ndo waingie akina ROSTAM na Lowasa karami na mbowe


Rostam ni mwanachama maarufu wa CCM hadi leo hii

Karamagi ni mwanachama maarufu wa CCM hadi leo hii

Mbowe ni mwenyekiti wetu asiye na doa hata moja kama angekuwa nalo TAKUKURU hao hawapo? mbona hawajamkamata kama wanavyowabeba wezi nyie CCM?

About Lowasa..sitasema Mengi...Muda ndio utawaumbua ..na mtaona aibu sana

Ahsante Mungu kwa kumuumba Lowasa.


upload_2016-8-15_10-10-58.png
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom