jembe afrika
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 7,602
- 3,781
Mbona watu wa dar mnapenda sifa sana,eti sixpack,wewe kuza hilo limwili usitafute hela halafu uzeen uanze kutetemeka kisenge na kusumbua wajukuu,,eti akaja kuomba kampan mtu hakujui hata,mbona wewe ni muongo?au uliwatungia watoto wa darasa la tatu au?