mdesi
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 1,373
- 2,251
Wadau, binafsi sijaoa si kwamba sipendi; napenda sana ila kila nikilifikiria napata kigugumizi kulichukulia hatua.
Nafanya kazi kwenye taasisi binafsi, jambo moja huwa linaniumiza sana kwa muda mrefu & now its too much, hapa kazini wanawake walioolewa tena na pete zao vidoleni plus watoto, wanashindwa kujali heshima walionayo, wao ndo wanatoka na vijana mida ya nchana kwenda guest na kuwasaliti waume zao.
Hii ni sample I hop kama hapa ipo basi hata ofisi nyingine IPO.
Bad enough wanaotoka nao wanawafanya vibaya hadi kinyume na maumbile. Tena gharama wanalipa wasaliti wenyewe.
Waume zao wanajua wapo kazini jioni wanarudi kimyaaa, mme anajua nimempata mke, du kumbe hamna kitu, mbaya zaidi hata kinga hawatumii.
Laiti kama waume wangekuwa wanawanyemelea wake zao wanavyo behave wawapo kazini ndoa zingeisha walai.
Hakuna hata matumaini kama huu usaliti utakuja isha, mliokwisha oa msiwaamini wake zenu labda kwa 0.2%.
Tuwaoe wake gani? mama wa nyumbani shida, wafanyabiashara nao wafanyakazi ndo hao.
Kazi kwenu mliopo kwenye ndoa.
Nafanya kazi kwenye taasisi binafsi, jambo moja huwa linaniumiza sana kwa muda mrefu & now its too much, hapa kazini wanawake walioolewa tena na pete zao vidoleni plus watoto, wanashindwa kujali heshima walionayo, wao ndo wanatoka na vijana mida ya nchana kwenda guest na kuwasaliti waume zao.
Hii ni sample I hop kama hapa ipo basi hata ofisi nyingine IPO.
Bad enough wanaotoka nao wanawafanya vibaya hadi kinyume na maumbile. Tena gharama wanalipa wasaliti wenyewe.
Waume zao wanajua wapo kazini jioni wanarudi kimyaaa, mme anajua nimempata mke, du kumbe hamna kitu, mbaya zaidi hata kinga hawatumii.
Laiti kama waume wangekuwa wanawanyemelea wake zao wanavyo behave wawapo kazini ndoa zingeisha walai.
Hakuna hata matumaini kama huu usaliti utakuja isha, mliokwisha oa msiwaamini wake zenu labda kwa 0.2%.
Tuwaoe wake gani? mama wa nyumbani shida, wafanyabiashara nao wafanyakazi ndo hao.
Kazi kwenu mliopo kwenye ndoa.