Siwezi kumsamehe huyu.

lakini huyu jamaa alikufanya vibaya sana bana!!!!

sio vizuri kabisa!!

we utamnyonya mwenzio weeee bila kumgegeda!!!

we mtafute tu!!

natamani hiyo nafasi ya kutafutwa ingekuwa yangu....!!!!!
 

Nakukubali miss wa kinyaru [emoji1474][emoji1474][emoji1474] well said
 
Babu yangu aliwahi kuniambia kuwa chuki umuumiza sana anayoiweka kuliko yule anayochukiwa. Mwenzako yuko na familia yake huko wana enjoy maisha wewe unaongeza vidonda vya tumbo na stress kwa kutosamehe. Samehe na sahau maisha mafupi haya kuwekeana visasi.
 
hawa mademu wa siku hz pasua kichwa sana... ngoja nifatilie ishu ya bashite kwanza halaf ntarudi kukusaidia kumtafuta!
 
Atakuwa anaota huyu anafikiri mwanaume anapatiwa kisasi kizembe hivyo
 
Pepo la kisasi SHINDWAAAAAAAAAAAA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…