Sasa Wengine bafuni wako na ilo tuUnaweza kutoa kile kitu inayotoa, kuyaondoa maji, kublock maji ukabadilisha mara kadhaa utakavyo ikikupendeza. Wengi wa bathtub na shower. Bathtub ni ukiwa free huna haraka hauendi kazini otherwise unatumia shower head.
Ukiona kitabu hukielewi hujaandikiwa wewe. Kwenye picha ulizoweka ipo moja ina shower. Mara nyingi mtu mwenye uwezo wa kuweka bath tub hashindwi kuweka na shower hapo hapo au kwenye kisehemu kingine pembeni. Bath tub sio kwa ajili ya kuoga kuondoa mauchafu yako uliyotoka nayo gereji huko, hio ni kwa ajili ya relaxion baada ya uchovu na stress za siku nzima ndio maana unakuta wengine wanaingia na vitabu au wanalala kabisa.Tumezoea unaoga uchafu unatoka mwilini, sasa ile unaoga afu uchafu unarudi Kwenye maji Yale Yale Ni KERO Sana kiukweli.
Unaharaka zako unahitaji uoge chap chap uende zako afu unakutana na mtihani wa kutumbukia mzima mzima ujiloweke kwanza Kwenye beseni.
Ni kupotezeana muda kiukweli.View attachment 2036636View attachment 2036637View attachment 2036638
Hao wamechemka.Sasa Wengine bafuni wako na ilo tu
Ameweka hapo na ki champagne anarelax mwenyewe, yuko kwenye bubble bathUkiona kitabu hukielewi hujaandikiwa wewe. Kwenye picha ulizoweka ipo moja ina shower. Mara nyingi mtu mwenye uwezo wa kuweka bath tub hashindwi kuweka na shower hapo hapo au kwenye kisehemu kingine pembeni. Bath tub sio kwa ajili ya kuoga kuondoa mauchafu yako uliyotoka nayo gereji huko, hio ni kwa ajili ya relaxion baada ya uchovu na stress za siku nzima ndio maana unakuta wengine wanaingia na vitabu au wanalala kabisa.
Au wako wawili wanasuguana migongo....maji ya shower gel na roses zenye aroma fulani amazing,champagne,candles etcAmeweka hapo na ki champagne anarelax mwenyewe, yuko kwenye bubble bath
Maisha ndiyo haya ukiwa na uwezo jifurahishe mwenyewe.Au wako wawili wanasuguana migongo....maji ya shower gel na roses zenye aroma fulani amazing,champagne,candles etc
Tumezoea unaoga uchafu unatoka mwilini, sasa ile unaoga afu uchafu unarudi Kwenye maji Yale Yale Ni KERO Sana kiukweli.
Unaharaka zako unahitaji uoge chap chap uende zako afu unakutana na mtihani wa kutumbukia mzima mzima ujiloweke kwanza Kwenye beseni.
Ni kupotezeana muda kiukweli.View attachment 2036636View attachment 2036637View attachment 2036638