Leo nakutana na habari hii, hapa chini. Amefuata ushauri wangu au its just a coincidence? Kama amefuata ushauri wangu, basi JF is a very powerful media. Big up sana kwa wasisi wa JF
Vengu kapewa nyumba ya ml.120 na ataanza kuonekana tena kwenye orijino komedi. ..hiyo hapo kwenye picha ni mfano tu wa nyumba kama aliyopewa Vengu...ila usiamini shoga si unamjua shigongo tena...
Leo nakutana na habari hii, hapa chini. Amefuata ushauri wangu au its just a coincidence? Kama amefuata ushauri wangu, basi JF is a very powerful media. Big up sana kwa wasisi wa JF