Sitta: Uganda, Kenya, Rwanda waizidi kete Tanzania!

Sitta: Uganda, Kenya, Rwanda waizidi kete Tanzania!

Museveni na Kagame wamenuna baada ya Mr. Dhaifu kuwashauri wakae meza moja na wapinzani wao wa kisiasa ambao wako msituni.
Kenyatta alichofanya ni kutumia mwanya huo ili kufanya biashara na nchi hizo mbili ambazo zimeamua kuikimbia bandari ya Dsm ikiwa ni njia mojawapo ya kuonyesha kutokubaliana na ushauri wa Mr. Dhaifu.
Na kwakuwa hao maraisi waliokutana hawana masihara kwwenye mambo serious hasa ya kuinua uchumi wa nchi zao haitakuwa ajabu kama kikao hicho kikawa mwanzo wa kuparaganyika kwa jumuiya ya Afrika Mashariki.
Wakati maraisi wengine wanafikiria na kutekeleza mipango ya kuinua uchumi na kuboresha vipato vya wananchi sisi huku Mr. Dhaifu yuko busy kupanga mipango ya kuihujumu Chadema.



The two points in red are true facts and will justify the means. Tanzania tuko magoigoi mno na tunapenda sifa

tusizozistahili. Haya yote ni majanga tuloletewa na ccm chini ya kiongozi dhaifu sana Kikwete na yule Mp.umba.vu Pinda.
 
Hii Jumuiya ya Afrika mashariki Watanzania tulishaikataa kwenye Tume ya maoni iliyozunguka Nchi nzima kwani Manyang'au wa Kenya walishatuliza viongozi wetu aliwemo J.Kikwete akaziba masikio kwa kusema tusiogope.
Sasa afunguke masikio hawa watu si wazuri na hasa WATUTSI ni watu wenye tamaa sana
Kwanini tusiivunje Jumuia hii maana tumeongeza Rwanda na Burundi na kuwa Nchi 5 ni balaa zaidi, bado tuna matatizo na Serikali 2 Zanzibar hawataki sisi tunamkaribisha Mtutsi Kagame
Iko siku JK atatambua ni kosa kubwa la penalti kuwakaribisha Watutsi ni heri waende huko Kenya Quishney
 
Huwezi kushirikiana na nchi ambazo mkimaliza mkutano wao pia wanaanza mikutano yao ya siri ndani ya vyumba vya kulala.

Ninauona UBINAFSI wa Watanzania wachache wanaosukumwa na UBINAFSI wa kiitikadi wanaomlaumu Rais kikwete kwa kutoa ushauri mbadala kwa viongozi wa nchi hizi mbili.

Tanzania kwenye majukwaa ya kimataifa tuko vizuri sana na hatuweweseki hata kidogo. Tuna uwezo wa kusema na kukemea kile tunachokiona kina walakini kitaifa na kimataifa. Katika majukwaa ya kimataifa, hatuishi KINAFIKI kama wachache hapa JF wanavyopenda iwe. We're not Rwandan or Ugandan. If you don't like, you're free to be one of them (WANAFIKI).

Kama namba za kiuchumi hazidanganyi, we'll be FINE nationally and internationally.

Kwanza hatuhitaji huu muungano wa EAC kwa sasa kwa sababu ya mismatch za kiuchumi na security zilizopo kati yetu na nchi za Kenya, Rwanda na Uganda.

Ni ujinga kuanzisha EAC wakati indicator zinaonyesha hautadumu.

Wale wanaoamini kuna Mungu wana msemo usemao, Mungu hamtupi mja wake kwa maana kuwa, ni vizuri tumefunuliwa TRUE COLOUR ya viongozi wa Rwanda na Uganda mapema kabla hatujafunga nao ndoa kamili ya kisiasa, kiuchumi na kijamii.
 
KIkubwa toka kwa maoni ya ndugu Sitta ni kwamba na yeye pia yuko gizani kuhusiana na mkutano huo. Kwa maneno mengine he is as clueless as the next layman. Nashindwa kuelewa ni namna gani wizara yake au huyu waziri anavyofanya kazi ikiwa mambo ya muhimu ya sera za biashara na utawala yanayohusisha ukanda wa Afrika Mashariki yanakuwa yanampitia kushoto.

Ni vyema ndugu Sitta angekaa kimya kuliko kusema kile ambacho kila mtu asiyekuwa katika utawala anakifahamu. Ni aibu tupu!
 
Ila namuonea huruma Kenyatta kama atakuwa hajui ana deal na watu wa aina gani (kagame na museveni)! Lakini kama anawajua vizuri, then it is fine. Ingekuwa uamuzi wangu nisinge support uingizwaji wa rwanda na burundi kwenye jumuiya! bora hata Burundi kidogo lakini rwanda NO!
 
tanzania siyo taifa linaloweza kutengwa na majirani,tunawasaidia kila kitu,hifadhi ya wakimbizi,wakiishiwa hata chakula wanakimbilia huku,tuna bandari,tuna viwanja vya ndege na kila kitu,sasa unatengwaje na a land locked country?
 
Tusipoteze muda kujadili watu na mipango yao ya maendeleo. Tujadili sisi na mipango yetu ya maendeleo. Tujadili mkikataba tuliyoingia na CHINA hivi karibuni tuone kwamba itatupeleka mbele ki maendeleo. Pia tuhakikishe ziara ya OBAMA/USA iwe ya kuleta maendeleo hapa kwetu. Narudia-tusipoteze muda na nguvu zetu kujadili jirani kala nini,tujadili fursa na maendeleo tutayopata kwa ushirikiano wetu na hawa worlds super power utatuendeleza vipi individualy na Taifa ki u jumla.
hayo ndo maneno
 
Bandari ya Dar es Salaam ni kikwazo kikubwa kutokana na wizi uliokithiri kwa majirani zetu. Serikali ya CCM kutwa kucha inapanga jinsi ya kupambana na CDM na kuwapa mwanya majambazi kufanya watakavyo. Kagame amechoka na Uji nga huu, anaamua kutumia bandari ya Lamu. Sita, Mwakyembe, Nchimbi na Membe wapo busy na ndoto za Urais 2015
 


Labda wameona sisi tumejali BOMBA letu kulipeleka BAGAMOYO; kuliko kuimarisha EAC na kujadiliana nao UMUHIMU kwa UGANDA na Bandari ya TANGA; Rwanda na Burundi na umuhimu wa Reli Mpya Mpaka Bandari ya Dar na Tanga

Lakini, Wameona tulipopata UGENI wa Rais wa CHINA tumebadilisha kabisa MANTIKI yetu na kuashiria Bandari ya BAGAMOYO kuwa nchi hizo ndio tu zitaitumia...

Tunakuwa wababe... Rais wetu anaongezeka Makucha
 
Tusipoteze muda kujadili watu na mipango yao ya maendeleo. Tujadili sisi na mipango yetu ya maendeleo. Tujadili mkikataba tuliyoingia na CHINA hivi karibuni tuone kwamba itatupeleka mbele ki maendeleo. Pia tuhakikishe ziara ya OBAMA/USA iwe ya kuleta maendeleo hapa kwetu. Narudia-tusipoteze muda na nguvu zetu kujadili jirani kala nini,tujadili fursa na maendeleo tutayopata kwa ushirikiano wetu na hawa worlds super power utatuendeleza vipi individualy na Taifa ki u jumla.

sio kwamba napingana na hoja yako, lakini mkataba yenyewwe ya china hata hatuijui. Bado imekuwa siri, sasa sijui tutaanzaje kujadili mambo ambayo hatujui. Labda tuanze na kudai kuifahamu kwanza hiyo mikataba ilihusu nini haswa na manufaa yake yalikuwa ni gani?
 
Hapo akiri, busara, uwajibikaji, na uzalendo ndio unao hitajika zaidi. Kama nikweli kikao hicho kili kua na mtazamo huo, wana haki. Tatizo Tz viongozi walio wengi uzalendo kwa nchi na wananchi wao hawana.
 
Huo ndio ukweli,Kagame na Mseveni lao ni Moja kwanza nasikia wote ni watusi,ugomvi wa JK na Kagame na Mseveni kesha ambukizwa, acha tuone kwa mwendo huu kama kweli jumuia ya Africa mashariki itasimama.

Kama M7 ni Mtutsi maana yake ni kwamba ukimchokoza Kagame umemchokoza M7. Kwa hiyo kwa sasa JMK ana wagomvi wawili. Kenyatta sharp sharp ametumia situation hiyo kufanya biashara. Hata ingekuwa mimi I would do the same.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Museveni na Kagame wamenuna baada ya Mr. Dhaifu kuwashauri wakae meza moja na wapinzani wao wa kisiasa ambao wako msituni.
Kenyatta alichofanya ni kutumia mwanya huo ili kufanya biashara na nchi hizo mbili ambazo zimeamua kuikimbia bandari ya Dsm ikiwa ni njia mojawapo ya kuonyesha kutokubaliana na ushauri wa Mr. Dhaifu.
Na kwakuwa hao maraisi waliokutana hawana masihara kwwenye mambo serious hasa ya kuinua uchumi wa nchi zao haitakuwa ajabu kama kikao hicho kikawa mwanzo wa kuparaganyika kwa jumuiya ya Afrika Mashariki.
Wakati maraisi wengine wanafikiria na kutekeleza mipango ya kuinua uchumi na kuboresha vipato vya wananchi sisi huku Mr. Dhaifu yuko busy kupanga mipango ya kuihujumu Chadema.
Mwita pamoja na mazuri yote ulionena,bado Tanzania ni kiungo muhimu sana kwa nchi zote hizo.
Kenyatta huyo huyo anapiga debe walau mahakama ya The Hague ihamie Tanzania,Museveni muundo wa UPDF ni umetengenezwa na JWTZ asilimia 100 na bado anachota wataalamu,Kagame yeye ni kama baiskeli ya mabua,tukifungua dirisha tu kwa brigedi moja ya wapinzani wake kushambulia toka Tanzania hachukui hata wiki yupo nje ya madaraka...usijali watanywea tu
 


Labda wameona sisi tumejali BOMBA letu kulipeleka BAGAMOYO; kuliko kuimarisha EAC na kujadiliana nao UMUHIMU kwa UGANDA na Bandari ya TANGA; Rwanda na Burundi na umuhimu wa Reli Mpya Mpaka Bandari ya Dar na Tanga

Lakini, Wameona tulipopata UGENI wa Rais wa CHINA tumebadilisha kabisa MANTIKI yetu na kuashiria Bandari ya BAGAMOYO kuwa nchi hizo ndio tu zitaitumia...

Tunakuwa wababe... Rais wetu anaongezeka Makucha

Bila ujirani mwema bandari ya Bagamoyo is as good as useless project.Kwa mizigo ya ndani ya nchi bandari za Dar,Tanga na Mtwara zinatosha. Malawi ndio tushakorofishana ,Zanzibar mguu nje mguu ndani. Kenya, Uganda Rwanda tayari washafyatua warning shot. Tanganyika huaminiki tena, marafiki na ndugu wanakukimbia.
 


Labda wameona sisi tumejali BOMBA letu kulipeleka BAGAMOYO; kuliko kuimarisha EAC na kujadiliana nao UMUHIMU kwa UGANDA na Bandari ya TANGA; Rwanda na Burundi na umuhimu wa Reli Mpya Mpaka Bandari ya Dar na Tanga

Lakini, Wameona tulipopata UGENI wa Rais wa CHINA tumebadilisha kabisa MANTIKI yetu na kuashiria Bandari ya BAGAMOYO kuwa nchi hizo ndio tu zitaitumia...

Tunakuwa wababe... Rais wetu anaongezeka Makucha

Bila ujirani mwema bandari ya Bagamoyo is as good as a useless project.Kwa mizigo ya ndani ya nchi bandari za Dar,Tanga na Mtwara zinatosha. Malawi ndio tushakorofishana ,Zanzibar mguu nje mguu ndani. Kenya, Uganda Rwanda tayari washafyatua warning shot. Tanganyika huaminiki tena, marafiki na ndugu wanakukimbia.You must learn to give and take,earn concessions grant concessions.
 
Museveni na Kagame wamenuna baada ya Mr. Dhaifu kuwashauri wakae meza moja na wapinzani wao wa kisiasa ambao wako msituni.
Kenyatta alichofanya ni kutumia mwanya huo ili kufanya biashara na nchi hizo mbili ambazo zimeamua kuikimbia bandari ya Dsm ikiwa ni njia mojawapo ya kuonyesha kutokubaliana na ushauri wa Mr. Dhaifu.
Na kwakuwa hao maraisi waliokutana hawana masihara kwwenye mambo serious hasa ya kuinua uchumi wa nchi zao haitakuwa ajabu kama kikao hicho kikawa mwanzo wa kuparaganyika kwa jumuiya ya Afrika Mashariki.
Wakati maraisi wengine wanafikiria na kutekeleza mipango ya kuinua uchumi na kuboresha vipato vya wananchi sisi huku Mr. Dhaifu yuko busy kupanga mipango ya kuihujumu Chadema.

Mkuu Mwita hawa wana utatu wao usio mtakatifu, ukirudi nyuma 2007 kwenye kauli za M7 kuhusiana na uchaguzi wa kenya na maneno aliyoyasema karibuni dhidi ya Raila kwenye sherehe za kuapishwa kwa Uhuru ambapo alifikia sehemu ya kumuita Kibaraka wa ICC(Raila wakenya wanamuona kama nguzo katika kukua kwa demokrasia ya Kenya) M7 kwake ni kibaraka, hawa umoja wao una mambo mengi tusiyoyajua.
 
Museveni na Kagame wamenuna baada ya Mr. Dhaifu kuwashauri wakae meza moja na wapinzani wao wa kisiasa ambao wako msituni.
Kenyatta alichofanya ni kutumia mwanya huo ili kufanya biashara na nchi hizo mbili ambazo zimeamua kuikimbia bandari ya Dsm ikiwa ni njia mojawapo ya kuonyesha kutokubaliana na ushauri wa Mr. Dhaifu.
Na kwakuwa hao maraisi waliokutana hawana masihara kwwenye mambo serious hasa ya kuinua uchumi wa nchi zao haitakuwa ajabu kama kikao hicho kikawa mwanzo wa kuparaganyika kwa jumuiya ya Afrika Mashariki.
Wakati maraisi wengine wanafikiria na kutekeleza mipango ya kuinua uchumi na kuboresha vipato vya wananchi sisi huku Mr. Dhaifu yuko busy kupanga mipango ya kuihujumu Chadema.

yuko busy na kuzungusha ramani ya dunia haangalie aibukie nchi gani, vile vile kumkaribisha Obama ambaye hana maslahi yeyote ya muda mrefu na Tz
 
Back
Top Bottom