Hivi Siita aliwahi kutoa maelezo kwa nini anaendelea kukaa nyumba ya Spika wakati ana bonge la ghorofa masaki na nyumba zingine binafsi? mali za umma ni tamu bwana asikuambie mtu. Hivi sasa serikali inaingia gharama kubwa ya kumlipia Anne Makinda kwa sababu tu Sitta amegoma kumpisha Makinda kwenye nyumba hiyo ya bure kwa spika yeyote atakayechaguliwa
Duuuh! Thibitisha mzee.