Sitta na mwakyembe ni wanafiki si watu wa kuwaamini, mbona mpaka leo hawajamtaja mwenye richmond na dowans.
Mbona hawajamtaja aliyempa mwakyembe sumu. Hawa jamaaa ni hamna kitu. Wamehongwa vyeo ,
sita huyu huyu aliye zima mjadala wa richmond bungeni?? Atatueleza nini tumwelewe??
Sisi wananchi tumewapa madaraka na tunalipa kodi ili itumiwe na serikali na vyombo vyake vya ulinzi na usalama. Wana wajibu wa kuchunguza. Na kuwatia hatiahani wahalifu . Sasa na serikali na sita wanalia lialia nini?? Kila kitu tumewapa. Basi waturudishie nchi yetu tuwape wanaoweza