****??!!Ushahidi kwa serikali ipi? Mbona vinasa sauti alivyovikamata Dr. Slaa mpaka kesho hakuna taarifa? Wewe hizo za sitta kupandikiza mpinzani una ushahidi? Acha ufala bwana!!agh.....!
****??!!Ushahidi kwa serikali ipi? Mbona vinasa sauti alivyovikamata Dr. Slaa mpaka kesho hakuna taarifa? Wewe hizo za sitta kupandikiza mpinzani una ushahidi? Acha ufala bwana!!agh.....!
SITTA anatakiwa kuwa muwazi na sio kuongea maneno ya kufikirika.Haya maneno ya Sitta ni mazito, kuwa muwazi na Mungu akulinde.
acheni upumbafu sitta anamuongelea Rostam Aziz
Raia mwemasource????
Katika gazeti ka Raia Mwema la leo, kuna habari ambayo Spika Sitta, amezungumzia kuhusu majeruhi wa Richmond ambao wamekuwa wakimuandama na katika kufafanua bila kuwataja majina, Spika alisema kuna mmoja kati yao ni MHALIFU SUGU, je, huyu ni nani? Katika maelezo yake Sitta alisema;
huyo alleged MHALIFU SUGU ndioye aliyemweka hapo alipo huyo SITTA sasa badala ya kufanya kazi kwa uadilifu naye amegeuka kuwa MHALIFU WA KUPINDUKIA kwa kuanza kufoji risiti za pharmacy....tangu lini dawa za Malaria zikauzwa dola 2,000?
hebu soma hapa:
http://taifaletu.blogspot.com/2009/07/time-to-bin-samuel-sitta.html
kuna mtu kwenye hizo comments kwenye hiyo link amesema kama anajina yuko safi then aje clean tuu kisha aelezee iweje anawaburuza watu wampe tenda kwa kulazimisha kule Dodoma?
Ssssssssssshhhhhhhhhhhhhhhh pole pole bwana. Hata Dr Mwakyembe alisema siku ile kwamba mengine waliyafunika kutoifanya serikali i collapse. Kwa hiyo 6 anajua mengi bwana, ila aliiheshimu serikali yake inayompa ulaji na starehe.Kumbe Sita anayajua yote haya, sasa kwa nini anakuja kusema sasa? Ina maana vyombo vyetu vya usalama, DPP wako wapi kumshughulikia mhalifu sugu? Hata kama Sita ana ya kwake, cha muhimu kakiri kuwa serikali yetu haiwajibiki kwa wananchi bali inawalinda wezi.
...kwa hili nampa pass ahsante kwa kutufungua macho zaidi ingawa hakuna jipya
Kama hajasema jipya ina maana hajatufungua macho; labda wewe.
Amethibitisha na ku-approve tunayoyajua tayari