Hana akili! angekuwa mjanja angepigania kuwepo kwa mgombea binafsi, sasa anafikiri atapitia wapi? Kwa hicho chama chake hawampitishi. Akisumbua sana ataondolewa kwa zengwe lile lile la zamu ya kina mama na Asha Migiro atasimamishwa. Labda arudi CCJ.
Ukweli ndio huo uliousema,ccm hawawezi kumpitisha kwani mkweree atamuwekea zengwe kwanza kuwa ni mzee huu ni wakati wa vijana na halafu atasema ameanza kampeni mapema!! Kama kweli anadhamilia kusimama yeye na Lowassa wasitegegeme kuwa ccm itapitisha majina yao kwahiyo inabidi wawe na falling back position.