Sitta autamani Urais 2015

Sitta autamani Urais 2015

Hana akili! angekuwa mjanja angepigania kuwepo kwa mgombea binafsi, sasa anafikiri atapitia wapi? Kwa hicho chama chake hawampitishi. Akisumbua sana ataondolewa kwa zengwe lile lile la zamu ya kina mama na Asha Migiro atasimamishwa. Labda arudi CCJ.

Ukweli ndio huo uliousema,ccm hawawezi kumpitisha kwani mkweree atamuwekea zengwe kwanza kuwa ni mzee huu ni wakati wa vijana na halafu atasema ameanza kampeni mapema!! Kama kweli anadhamilia kusimama yeye na Lowassa wasitegegeme kuwa ccm itapitisha majina yao kwahiyo inabidi wawe na falling back position.
 
Hana ubavu! Akiwa Spika wa bunge hakututendea haki hata kidogo! aliuzima mjadala wa Richmond kidikteta, je alihongwa ahadi ya kugombea Urahisi 2015? huyu mtu ni hatari sana!
wewe ndo huna akili timamu bila sitta vita ya ufidadi ingejulikana kama leo,siyo sitta aliyezima mjadala wa ufisadi bali ni bunge la jamhuri,hivyo unataka kumanisha sitta alikuwa na nguvu kuliko bunge lenye watu zaidi ya 300,soma mambo na uyaelewe,soma nafasi ya spika bungeni na nguvu ya bunge ndo uje na mawazo yako haya ya kijima
 
Samuel Sitta ni mtu ambaye ameitumikia serikali ya CCM zaidi ya nusu ya Umri wake wote, na yeye alikuwa mwanamtandao.Inasikitisha sana watu kuhadaiwa eti Sitta anapinga ufisadi, Sitta anatumia neno ufisadi kwa maslahi ya kisisiasa na pia kuwachafua wapinzani wake kisiasa. Si ndo huyu Sitta alipopata nafasi ya kuwa kiongozi wa serikali bungeni povu lilimtoka kuwashambulia na kuwadharilisha wapinzani,na kuitetea serikali na chama kwa kuviita "waadilifu" na wasikivu? mnaomshabia huyu gamba opportunist ni vema muangalie na mtathmini misimamo yenu ya kisisiasa.
wewe ndo umetumwa kuukana ukweli kuhusu mzee sitta,ni kiongozi pekee mpaka sasa aliyetumikia serikali bila kashfs yoyote ,hizo unazoleta niza kuokoteleza majalalani
 
wewe ndo huna akili timamu bila sitta vita ya ufidadi ingejulikana kama leo,siyo sitta aliyezima mjadala wa ufisadi bali ni bunge la jamhuri,hivyo unataka kumanisha sitta alikuwa na nguvu kuliko bunge lenye watu zaidi ya 300,soma mambo na uyaelewe,soma nafasi ya spika bungeni na nguvu ya bunge ndo uje na mawazo yako haya ya kijima

Sitta sie muasisi wa vita ya ufisadi, muasisi ni Dr Slaa, Sitta hapingi ufisadi bali anapambana na Lowasa Urais 2015 period!
 
Samuel Sitta ni mtu ambaye ameitumikia serikali ya CCM zaidi ya nusu ya Umri wake wote, na yeye alikuwa mwanamtandao.Inasikitisha sana watu kuhadaiwa eti Sitta anapinga ufisadi, Sitta anatumia neno ufisadi kwa maslahi ya kisisiasa na pia kuwachafua wapinzani wake kisiasa. Si ndo huyu Sitta alipopata nafasi ya kuwa kiongozi wa serikali bungeni povu lilimtoka kuwashambulia na kuwadharilisha wapinzani,na kuitetea serikali na chama kwa kuviita "waadilifu" na wasikivu? mnaomshabia huyu gamba opportunist ni vema muangalie na mtathmini misimamo yenu ya kisisiasa.
unatumiwa vibaya na hao mafisadi,tumia akili kutadhimini mambo,vinginevyo mitizamo yako itakuozea kichwani bila kupata wa kuinunua,muulize baba yako amelifanyia nini taifa letu ukilinganisha na mzee sitta,kwanza yawezekana hajausaidia hata mtaa mnaoishi,unapata wapi wewe ujasiri wa kuukana ukweli kuhusu mh sitta.
 
Sitta sie muasisi wa vita ya ufisadi, muasisi ni Dr Slaa, Sitta hapingi ufisadi bali anapambana na Lowasa Urais 2015 period!
bora huyu anayepambana na fisadi kubwa hapa nchini,tunamtaka mtu aliyena ujasili kama wa sitta hata kama si sitta kwa jina ila awe mtu mwenye uthubutu kama sitta na vinginevyo,hata hivyo hata kama si slaa ila tunamtaka mtu mwenye uthubutu kama slaa,unafikria kazi iko wapi,sisi kama taifa tunahitaji mtu mwadilifu na mchapa kazi.
 

MY TAKE:
Kwa Changamoto za leo ambayo Nchi Yetu inazo, bado Mh. Samuel Sitta hana uwezo wa kuleta mageuzi ya Kimaendeleo katika Tanzania. Alipata mafasi kamili kama Kiongozi wa moja Mhimili kamili wa Kikatiba kama Spika wa Bunge kusimamia kuondoa uovu kikamilifu pamoja na Ufisadi Mwingine lakini akaamua kukumbatia uovu kuinusuru serikali yake ya CCM.

Japo anaweza kuwa anakubalika na baadhi, Mzee Sitta hawezi kuwa udhubutu wa kutupa Tanzania tunayoiota, na hata huko Wizara ya Afrika ya Mashariki bado hatujaziona cheche zozote
.

Mkuu that is your take. Lakini tunatakiwa tuangalie what will be the main issue in 2015, will CCM stand for Ufisadi like it is now? or will it have a change like one of groups within the party thinks about. Kwa sasa kilichopo hapa Tanzania ni lack of leadership, na kufluorish na kuukumbatia ufisadi hii ndio ajenda kuu ya CCM-mtandao, na itandelea hivyo wakiendelea kuwa madarakani. Hii ndio hatari kubwa tuliyonayo Tanzania kwa sasa. 2015 kwanza kabisa tunahitaji mtu ambaye atasimama kidete kuondoa haya, na kuirudisha Tanzania kwenye mstari, otherwise tutanedelea kuwa banana republic.

Mwenye uwezo wa kuleta Tanzania tunayoitaka ni sisi wenyewe watanzania hasa vijana, si rais. Awe CCM, Chadema au CUF. Tunachotaka ni mtu anayeweza kufanya tanzania iwe ruled by rules and laws, sio by ufisadi. Tumeona kuwa watanzania wanachapa kazi, kwa hiyo kama kuna leader tunaweza kusonga mbele.
 
Sitta sie muasisi wa vita ya ufisadi, muasisi ni Dr Slaa, Sitta hapingi ufisadi bali anapambana na Lowasa Urais 2015 period!

...na wengine wanaweza wakasema Dr.Slaa anapinga ufisadi usiomhusus huku naye akifanya ufisadi ndani ya Chadema, itategemea tu una define vipi...

...Lakini mwisho wa siku, ni wananchi ndio watakao amua definition itakayosimama, na believe me, kama ni uchaguzi wa Samweli Sitta na Dr.Slaa, Samweli Sitta atashinda decisively...
 
MWANASIASA machachari ambaye pia ni Waziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Samuel Sitta ametangaza nia ya kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu ujao mwaka 2015 na kutamba kuwa ana nafasi nzuri kutokana na sifa alizojijengea ndani ya Serikali ya Chama Cha Mapinduzi(CCM).

Sitta alitaja sifa hizo kuwa ni pamoja ile ya kuwa mteule wa rais, kwa awamu zote nne za uongozi taifa, tangu Tanzania ilipotaka uhuru wake, Desemba 9 mwaka 1961.

Spika huyo mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , alisema kwa sasa anawasikiliza wananchi kama wataona anafaa na haoni ubaya wowote wa kushika nafasi hiyo ya juu katika uongozi wa taifa kwa miaka mitano tu na kuwaachia vijana waendelee.


Habari kamili hapa
 
Ametangaza nia siku ya wajinga?!, hakika naye na watakaomuunga mkono watakuwa wajinga.
 
Uko sahihi mkuu, tatizo kuna baadhi ya watu wamegeuzwa kuwa mizukule ya kisiasa! Sitta kaanza kujiita "mpinga" ufisadi 2008 wakati tayari dr.slaa alishatangaza list of shame pale mwembeyanga, Sitta na kundi lake wakapora hoja hii na kuanza kuitumia dhidi ya wapinzani wake kisiasa na kuipotosha kabisa dhana ya vita dhidi ya ufisadi kama muasisi wake dr.slaa alivyoianzisha(war against corrupt system japo alitumia majina km mifano) lakini Sitta na kikundi chako wameigeuza kuwa ni war against "corrupt" individuals within his party!
 
Haaaa haaa Mkuu wangu mimi niko poa kabisa ndo kwanza nimetia timu DSM.

Mkuu mbona mimi nakufahamu miaka sana na wala sina issue na wewe kabisa. Napenda tu unavyosimamia hoja unazoziamini.

Kama uko Bongo, let us meet in one of the days. Naona AshaDii kule kishawafunga kamba wengi.

Niaje habari ya Sitta kuweka hadharani nia yake ya kuwa kuishi makazi ya sasa ya Baba Mwana-Asha?

Urongo bana SM!

Njoo na lile deni la Ngabu basi...lol
 
"Mhe" 6 ni mwanasiasa kigeugeu,mnafiki na ambaye anasukumwa na tumbo lake kufikiri!
Hafai CCM,Hafai upinzani,hafai kokote!
 
Aliwahutubia akina nani hiyo jana, maana jana alifanya mkutano kiwanja cha mwembe sangara, na chadema tulikuwa uwanja wa manoko mita kama 600 hivi toka walipokuwa wao, waliahirisha mkutano wakingojea tumalize ili nao wapate watu, na baada ya kuona tunakaribia kumaliza muda wa kisheria, wakaamua kuweka kikao chao cha chama hapohapo ndio maana hakujadili uchaguzi wa udiwani akawa anawajadili waccm na urais
 
Sitta akitangaza nia ni sahihi wala si mapema tena anapongezwa,akitangaza Kabwe ni mapema,mbinafsi,anatumiwa n.k
 
Safi sana waendelee kujitokeza tu tumechoka na tetesi
 
Ikiwa walitenda vile katika mti mbichi (uspika) vipi katika mti mkavu (urais)?
 
Back
Top Bottom