Sitta atoboa siri ya CCJ

Huyu aliyeandika haya ndiye yuleyule Mufiyakicheko kweli? Au uliamua kutuua kwa kicheko?
 
Mkuu mbona hueleweki? Hiki ulichoandika ni kiswahili au? Unasoma darasa la ngapi?

sita

Ameeleza ni jinsi gani wenye pesa ndani ya ccm walivyo kuwa wamepania kumtoa ikashindikana kwa maelezo yake anasema vyama vingine vilimshawishi kugombea uraisi bado alibaki imara anashangaa kusakamwa

Mimi sihusiki na ccj hao walionifuata nyumbani kunitaka nijiunge na vyama yvao leo wananipaka matope kajifananisha na chuma chapua hakuna mwanachama aliye pata misukosuko kama 6 kayaeleza hayo Mbeya.

chanzo live G fm mbeya
 
Sitta ni mnafiki alitaka kusaliti ccm baada ya kuhaidiwa madaraka akawatema ccj.
 
↲Hii umeandikiwa kaka/dada
 
Unapopost usitetemeke mkubwa,tulia andika kitu chenye maana siyo unaandika utadhani ni mipasho.rudia tena ulikuwa unamaanisha nini?

Anawahi kuanzisha thread, asije kuta imeanzishwa humu.
 
↲Hii umeandikiwa kaka/dada
EWE MWANA WA ROHO Hakuna amani yoyote kwako ila tu kwa kujikana mwenyewe na kumgeukia mngu kwani ya kupasa kujitukuza katika jina la mngu na siyo katika jina lako mwenyewe weka imani yako ndani ya mngu wekeza kwa mngu
 

Mufiyakicheko,

Thread yako ilipaswa isomeke hivi: Sitta ameeleza ni jinsi gani wenye pesa ndani ya CCM walivyo kuwa wamepania kumtoa ikashindikana. Kwa maelezo yake anasema vyama vingine vilimshawishi kugombea Uraisi lakini bado alibaki imara. Anashangaa kwanini anasakamwa!

''Mimi sihusiki na CCJ,hao walionifuata nyumbani kunitaka nijiunge na vyama vyao leo wananipaka matope'' alisema Sitta. Amejifananisha na chuma cha pua na akasema hakuna mwanachama aliye pata misukosuko kama yeye. Yote haya kayaeleza huko Mbeya.

Chanzo: Live G FM Mbeya.
 
Anawahi kuanzisha thread, asije kuta imeanzishwa humu.
EWE MWANA ANASA ZA DUNIA Ni ya kupendeza milki ya kuwa hai kama ungeifikia ni ya fahari milki ya umilele kama utapita dunia ya mauti ni tamu furaha kuu takatifu kama utakunywa katika kikombe kisichoelezeka kutoka katika mikono ya mngu kama utafikia daraja hili utaokolewa kutoka katika maangamizi ya dhambi
 
Asante mkuu nifani za watu
 

Ungeandika Mungu na sio Mngu! uwe unaanza na herufi Kubwa... Heshima Muhimu
 
EWE MWANA WA ROHO Hakuna amani yoyote kwako ila tu kwa kujikana mwenyewe na kumgeukia mngu kwani ya kupasa kujitukuza katika jina la mngu na siyo katika jina lako mwenyewe weka imani yako ndani ya mngu wekeza kwa mngu
Hongera ndugu, inaonesha unaimani ktk Mungu (nadhani ulimaanisha hivyo ulipoandika mngu)Samahani, hivi, mtu wa imani kwa nini umejipa jina la Mfia Kicheko?
 
Myie watu vp mbona mmevuruga mada, tbc iliroga kwenye taarifa ya mbeya haikutoa sauti wakaipotezea tuliishia kumwona 6 na Nape wakiandamana na watu wasiofika hata 1000, dk slaa alikusanya zaidi ya watu 40,000 mbeya, kuna anayebishaaaa? Je, je, unabishaaaaa
 
Hongera ndugu, inaonesha unaimani ktk Mungu (nadhani ulimaanisha hivyo ulipoandika mngu)Samahani, hivi, mtu wa imani kwa nini umejipa jina la Mfia Kicheko?
unapendekeza niitwe nani?
 
Hii inakuwaje siri jamani ? Mbona ukweli uko wazi au kuna mtu alimtegemea huyu fisadi mnafiki kukiri uhusika wake CCJ. Amesahau aliyoyasema wakati akiulilia Uspika ? Naona baada ya kuhakikishiwa kuwa ataendelea kukaa kwenye ile nyumba ya mamilioni na zile furniture za bei mbaya, sasa anaweza akaropoka anavyotaka. Anachosahau ni kuwa kama kuna wakati angetakiwa kutulia na kupima kwanza kina cha maji kabla ya kuyajavulia nguo ni huu ! Mbona Sitta hakukanusha madai ya huyu kada wa CCM ? Tukumbushane yaliyotokea mapema mwaka huu


 
Jamani Mfiakicheko kasema hajasoma but kaona atupe yaliyo jiri huko .Mie nimesoma na kurudia mara 4 hadi nikapata maana sasa nawe fabya hivyo .Asante ndugu mleta mada mie pia nimekuelewa .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…