Sitta alalamika: Tabora wabunge wote ni wa CCM lakini haina hata barabara moja ya lami

Igunga na Nzega ipo mkoa gani?

Huyu Mama, alimaanisha Tabora kutokuwa na lami kwa maana ya Makao makuu ya Mkoa kuunganisha na Wilaya zake:

Tabora - Igunga, hakuna barabara ya lami,
Tabora - Nzega, hakuna barabara ya lami,
Tabora - Sikonge, hakuna barabara ya lami,
Tabora - Uyui, hakuna barabara ya lami,
Tabora - Urambo, hakuna barabara ya lami,
Tabora - Kaliua (via Urambo), hakuna barabara ya lami.
Ni wilaya mbili tu, Igunga na Nzega, zilizounganishwa kwa lami!
 
Huu mkoa unahitaji ukombozi -- kazi hii amepewa Mh. Zitto Zuberi kabwe kuwakomboa wanyamwezi!! -

Hint kwa Zitto juu ya kuwakomboa wanyamwezi ki fikra:
Ni vigumu mno kumbadilisha mnyamwezi mtazamo wake hata kama haufanyi kazi; na ni vigumu pia ukamshawishi akaamini kitu kipya; kiasili ni muoga kubadilika; lakini endapo utafanikiwa basi hawezi kurudi nyumba tena na atakuwa mfuasi wako hadi milele.

Kumbadilisha mnyamwei tumia mbinu hizi
a) Kumwakikishia usalama wake sababu hapendi bugudha
b) Jaribu kumpa mifano hai ingawa itachukua muda mwingi akuelewe
c) Jabiru ku-challenge na kutoa ufafanuzi wa hali halisi ya kiuchumi ya mkoa huu ukigusia hasa zao lao wanalotegemea la Tumbaku; Uvunaji wa Asali na Mbao za mninga linavyochangia pato la kaya, kijiji, kata na kuendelea hadi mkoa
d) Elezea sera ya Majimbo; muundo wa uongozi na madaraka katika kutatua matatizo ya kiuchumi na kijamii yanayoukabiri mkoa huu vs mfumo wa sasa

kazi njema Mh Zitto -- tunahitaji msaada wako.
 
kama wanaunga mkono hoja mia kwa mia wakijua ni unafiki analalamika nini?
apige kelele asiunge mkono hoja aone kama hawatajengewa. by the way
tabora mjini ile lami imejengwa na wakoloni au??
 
Huyu mama alikuwa anatafuta wapi atokee!!ametokota na jua ndio limeshakuchwa!!astaafu akalee wajukuu!Makinda na Mama Sita hawana jipya karne hii si yao!
 
Huu mkoa unahitaji ukombozi -- kazi hii amepewa Mh. Zitto Zuberi kabwe kuwakomboa wanyamwezi!! -

Hint kwa Zitto juu ya kuwakomboa wanyamwezi ki fikra:
Ni vigumu mno kumbadilisha mnyamwezi mtazamo wake hata kama haufanyi kazi; na ni vigumu pia ukamshawishi akaamini kitu kipya; kiasili ni muoga kubadilika; lakini endapo utafanikiwa basi hawezi kurudi nyumba tena na atakuwa mfuasi wako hadi milele.

Kumbadilisha mnyamwei tumia mbinu hizi
a) Kumwakikishia usalama wake sababu hapendi bugudha
b) Jaribu kumpa mifano hai ingawa itachukua muda mwingi akuelewe
c) Jabiru ku-challenge na kutoa ufafanuzi wa hali halisi ya kiuchumi ya mkoa huu ukigusia hasa zao lao wanalotegemea la Tumbaku; Uvunaji wa Asali na Mbao za mninga linavyochangia pato la kaya, kijiji, kata na kuendelea hadi mkoa
d) Elezea sera ya Majimbo; muundo wa uongozi na madaraka katika kutatua matatizo ya kiuchumi na kijamii yanayoukabiri mkoa huu vs mfumo wa sasa

kazi njema Mh Zitto -- tunahitaji msaada wako.

Eti wakuu: Kaunga na Sikonge, kuna ukweli wowote kuhusu hili? Angalia hapo kwenye red.
 
Last edited by a moderator:
kwani maisha bora ni lami? Kadhalika wakajifunze kwa upinzani namna ya kukenga hoja ili wasikilizwe. Najiuliza waliwezaje kupata huo uwakilishi

kwa kuiba kura, kununua shahada, kugawa t shirt kofia kanga, kupanda na bastora mkutanoni pamoja na mwigulu kutambika kwa kuwagongea wake zao
 
CCM imewatelekeza wapiga kura kila mbunge wa ccm yuko busy kulimbikiza mali kwasababu wameshasadiki kuwa 2015 ccm bye bye na CHADEMA inatwaa serikali rasmi.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

Na bado wataweweseka sana na kusahau hata Igunga iko wapi. Huyu mama kaishachoka anasubiri pension yake tu.:msela::msela::msela::msela::msela::msela::rain::rain::rain::rain::rain:
 
Huyu Mama, alimaanisha Tabora kutokuwa na lami kwa maana ya Makao makuu ya Mkoa kuunganisha na Wilaya zake:

Tabora - Igunga, hakuna barabara ya lami,
Tabora - Nzega, hakuna barabara ya lami,
Tabora - Sikonge, hakuna barabara ya lami,
Tabora - Uyui, hakuna barabara ya lami,
Tabora - Urambo, hakuna barabara ya lami,
Tabora - Kaliua (via Urambo), hakuna barabara ya lami.
Ni wilaya mbili tu, Igunga na Nzega, zilizounganishwa kwa lami!

Absolutely. Umemaliza mkuu, nothing to add. hivyo ndivyo alivyomaanisha.
 
Hapo sijamuelewa vizuri huyu mama!Alikuwa anamaana anataka mkoa wetu uwekewe lami au alikuwa anawashutumu wapinzani? Halafu kumbe wanaliona kabisa hilo lakini kwakuwa wao wanaishi dar es salaam na wakija jimboni ni mara moja kwa mwaka ndiyo maana hawajali! Yaani Tabora sijui inatokeaje tunakuwa na wabunge vilaza. Mpaka sasa tuna mbunge mmoja tu mwenye akili Mh Magdalena Sakaya bahati mbaya ni waupinzani na ni wa viti maalum.Tuna safari ndefu sana wanyamwezi wala hatuijui kesho yetu itakuwaje dah!!
 
Maeneo mengi yanaoongozwa na ccm hayana maendeleo ya msingi, na ccm inanufaika saana na maeneo hayo kwa sababu wajinga ni wengi zaidi. na hawajitambui
 
Wakuu,
Huyu mama amekumbuka shuka mapambazuko, haipo tena nafasi ya kuwadanganya watu WA Tabora. Lakini kubwa aache ubaguzi eti majimbo ya wapinzani!!!!kana kwamba wapinzani si watanzania, wako katika NCHI yao nyingine, kweli akili ni ndogo.:shock::shock:
 
Back
Top Bottom