Maisha yana siri kubwa sana kaka tusiache kupambana na kumwomba Mungudah,pole mkuu ndio maisha yalivyo
kabisa mkuu sema nimeamini kama Mungu amepanga uondoke siku fulani utaondoka tu na kama hajapanga kuondoka huwezi kuondokaMara nyingi hizo kazi za kutumia nguvu mazingira si salama sana ni vile tu mtu unakuwa huna namna nyingine. Imagine uliumia kiasi hicho na hakuna hata huduma yeyote uliyopatiwa, hakika una kila sababu ya kumshukuru Mungu.
Kweli kabisa mkuukabisa mkuu sema nimeamini kama Mungu amepanga uondoke siku fulani utaondoka tu na kama hajapanga kuondoka huwezi kuondoka
wahindi ni zaidi ya wanyama sio watu kabixa,yan hizi NGOs zotehapa bongo zingekuwa za wafrica wenyewe au wazungu hali ya masha ingekuwa na auweniikiwezekana wapigwe na viboko
Najua ni maisha ila tukumbuke kuwa hayo mazingira yanaweza kukufanya usiione ile thamani ya maisha ambayo mwanzo ulikuwa unaipambaniamaisha mkuu ndio yanatupelekea kufanya hivo
Ujumbe mzito sana huu.Najua nimaisha ila tukumbuke kuwa hayo mazingira yanaweza kukufanya usiione ile thamani ya maisha ambayo mwanzo ulikuwa unaipambania