mkamanga original
JF-Expert Member
- Jan 21, 2015
- 636
- 665
Itakuwa kwa babu yako, wake za watu ni mademu tu kama walivyo mademu wengine wafumue tu na tena wanafumulika kirahisi sanaNaushamba wangu Mke wa mtu naogopa kweli sijui nimerithi ufala wapi
Itakuwa kwa babu yako, wake za watu ni mademu tu kama walivyo mademu wengine wafumue tu na tena wanafumulika kirahisi sanaNaushamba wangu Mke wa mtu naogopa kweli sijui nimerithi ufala wapi
Shida yote ya nini bora uwe muaminifuHii michezo ina wenyewe... Kulala na mke wa mtu ni kama kufanya exchange ya madawa ya kulevya...
Pick eneo mwenyewe. Mchukue na gari, zunguka naye kuhakikisha hamna anayekufuata, then zama kwenye hotel uliyoichagua bila yeye kujua.
Kumbuka ni vizuri uwe unafahamiana na mhudumu ili awe anakuchekia ramani ukiwa kazini.
Jitahidi kutokurudia lodge katika mfululizo mmoja.
Mwisho, usimwamini huyo mwanamke na sim yake.
Nitatoa somo siku moja.
principle namba moja ukienda kufumania usiwe mwenyewe, tafuta vidume zaidi ya vinne huku mkiwa na silahaKuna story nilisimuliwa na mtu mmoja kuwa kuna sehemu kuna mgodi wa dhahabu panaitwa Kakola kuna jamaa alipata taarifa kuwa mkewe anatafunwa na njemba moja hivi mnunuzi wa dhahabu ana vihela sasa jamaa akapewa mchoro wote
Siku ya tukio aliaga kuwa anasafiri lakini akarudi usiku kwa siri ili afumanie lakini cha ajabu alipoingia ndani na kumfuma mgoni wake akiwa na mkewe uchi wa mnyama ghafla mgoni alichomoa bastora na kumtishia mwenye mke akatulia kama kuku aliyemwagiwa maji ya baridi.!
Jamaa likamwambia amemkata stimu kwa kuingilia starehe zake hivyo likamwamlisha ainame limpige pumbu jamaa mbele ya bastora ilibidi ainame apigwe mboo mbele ya mkewe na mkewe kaliwa!
That's how gentleman should beNaushamba wangu Mke wa mtu naogopa kweli sijui nimerithi ufala wapi
Jamaa lina roho mbayaaKuna story nilisimuliwa na mtu mmoja kuwa kuna sehemu kuna mgodi wa dhahabu panaitwa Kakola kuna jamaa alipata taarifa kuwa mkewe anatafunwa na njemba moja hivi mnunuzi wa dhahabu ana vihela sasa jamaa akapewa mchoro wote
Siku ya tukio aliaga kuwa anasafiri lakini akarudi usiku kwa siri ili afumanie lakini cha ajabu alipoingia ndani na kumfuma mgoni wake akiwa na mkewe uchi wa mnyama ghafla mgoni alichomoa bastora na kumtishia mwenye mke akatulia kama kuku aliyemwagiwa maji ya baridi.!
Jamaa likamwambia amemkata stimu kwa kuingilia starehe zake hivyo likamwamlisha ainame limpige pumbu jamaa mbele ya bastora ilibidi ainame apigwe mboo mbele ya mkewe na mkewe kaliwa!
Wakati mnaingia tu kwenye gar.. mnyang'anye simu yake.. zima kabisaVipi ka mumewe ka hack simu yake na a nafatilia mawasiliano call had location. Ukikutana na mfatiliaji wafwa marinda yako
Kuna story nilisimuliwa na mtu mmoja kuwa kuna sehemu kuna mgodi wa dhahabu panaitwa Kakola kuna jamaa alipata taarifa kuwa mkewe anatafunwa na njemba moja hivi mnunuzi wa dhahabu ana vihela sasa jamaa akapewa mchoro wote
Siku ya tukio aliaga kuwa anasafiri lakini akarudi usiku kwa siri ili afumanie lakini cha ajabu alipoingia ndani na kumfuma mgoni wake akiwa na mkewe uchi wa mnyama ghafla mgoni alichomoa bastora na kumtishia mwenye mke akatulia kama kuku aliyemwagiwa maji ya baridi.!
Jamaa likamwambia amemkata stimu kwa kuingilia starehe zake hivyo likamwamlisha ainame limpige pumbu jamaa mbele ya bastora ilibidi ainame apigwe mboo mbele ya mkewe na mkewe kaliwa!
Kweli aise. Huu uzi unentisha sana. Koz kuna mmoja anajilengesha hapa.. sasa sijui niache..Mkuu Jack HD: hkna cha vaseline mimi nikiingia nae room2 nahakikisha Glock g17 ipo full reload ninapogongewa mlango na hao mafirauni wajiandae na wao kupelea UNYAMA UNYAMANI na wake za watu ni watam asikwambie mtu alaf cha ajabu hatuwatongozi wanatushobokea wao
Yani wote walipigwa mashineKuna story nilisimuliwa na mtu mmoja kuwa kuna sehemu kuna mgodi wa dhahabu panaitwa Kakola kuna jamaa alipata taarifa kuwa mkewe anatafunwa na njemba moja hivi mnunuzi wa dhahabu ana vihela sasa jamaa akapewa mchoro wote
Siku ya tukio aliaga kuwa anasafiri lakini akarudi usiku kwa siri ili afumanie lakini cha ajabu alipoingia ndani na kumfuma mgoni wake akiwa na mkewe uchi wa mnyama ghafla mgoni alichomoa bastora na kumtishia mwenye mke akatulia kama kuku aliyemwagiwa maji ya baridi.!
Jamaa likamwambia amemkata stimu kwa kuingilia starehe zake hivyo likamwamlisha ainame limpige pumbu jamaa mbele ya bastora ilibidi ainame apigwe mboo mbele ya mkewe na mkewe kaliwa!
Katika hali ya kawaida binadamu tunapitia vipindi vingi sana.ngoja niingie moja kwa moja kwenye mada
Hiyo siku siiwezi kusahau, ni miaka 4 imepita, ilikuwa ni dem ambaye nilisoma naye tangu primary na sekondari tukiwa darasa moja, na mahusiano yetu yalianza tukiwa kidato cha kwanza, demu alinisaidia sana kuepukana na kile chama pendwa cha Chaputa mpaka namaliza sekondari,ijapokuwa nilikuwa na show nyingine za nje lakini huyu hatukuwahi kuachana mpaka tunamaliza
Tulikuja kupotezana mara baada ya kumaliza sekondari, kila mtu aliendelea na masomo na mimi baada ya kumaliza elimu ya chuo nikapangiwa kwenye mkoa mmoja, baada ya miaka 5 nikahamia mkoa ambao ndipo tukaja kukutana, na yeye akaniambia ana familia 2 na ni mwajiriwa wa idara fulani kwenye local government. Ikabidi tuachiane contacts ili baadae tuwasiliane, katika kuendelea kuwasiliana akaniambia mume wake ni mtumishi wa jeshi la wananchi kikosi cha huduma.
Katika kuendelea kuchati binti alionyesha nia ya nguvu ya kutaka kupasha kiporo ,kitu ambacho sikuwa tayari mwanzoni. Lakini siku zilivyokuwa zinaenda nikashawishika kula mzigo,na tukawa tunafanya hivyo. Sasa kuna siku moja aliwahi niambia mume wake ameonyesha hisia ya kwamba mali yake inaibiwa, nikaanza kuwa na hofu kumbe alikuwa ametuwekea mtego, na mimi bila kujua.
Mpaka leo naendelea kuamini ule mtego lazima mwanamke alinisaliti kwa sababu mwanamke mara zote tulipokuwa tunakutana yeye ndiye alikuwa anatangulia gest na ananipa taarifa njoo chumba namba fulani.
Sasa siku hiyo nimefika eneo la tukio nikashtuka kukutana sura ambazo nilizitilia shaka lakini nikapotezea, nikapitia receiption nikasabahi nikaingia ndani, nilipofika room nikamkuta mama amesaula amelala, machale yakanicheza nikatoka nje nikamwambia mhudumu atubadilishie chumba akanipa funguo nyingine nikaenda room nikamwambia mama hiki chumba kina hewa nzito tuhame akawa anagoma,nikamzoa kwa nguvu tukahamia chumba cha mwishoni kabisa.lakini nikaona utofauti fulani kama vile mama hakulidhika, halafu story zikawa nyingi wakati mimi nataka tuanze game yeye anasema subiri tuongee kwanza. Kitu ambacho kilisaidia ni mara tu tulipohamia chumba kile simu zote yake na yangu zilikuwa mezani.mara nikasikia sauti za wanaume wakimlazimisha mhudumu afungua kile chumba tukichohama, huku mhudumu akigoma kwamba hawezi kwani wao sio wateja, baada ya kumtisha mhudumu akawapa sharti kama mnayemtaka hayupo msinisumbue tena, mhudumu akawafungulia na chumba kilikuwa hakina mtu, sasa wakawa wanamlazimisha afungue na vingine mhudumu akakataa na bahati nzuri wageni 2 waliokuwa vyumba vya pembeni wakatoka wakawaambie wale wakaka 4 wawe wastaarabu , kama vipi waende polisi ndio waje wafungue vyumba vingine na sio wao.jamaa wakagoma kwa kuona kwamba wakienda polis lengo lao halitatimia . Kipindi hicho chote tumekaa tu kitandani na binti ananiambia mume wangu huyo, shauri yako, halafu anaomba kutoka,akawa kama amepagawa flani hivi.nikamwambia marafuku ,nikamlaza kitandani nikamlalia juu ili kuhakikisha hata akipiga kelele hazisikiki.wakati huo simu yake nimeshazima mdaa.baadae wakaondoka kwa maelezo ya mhudumu kwamba hao watu wanao watafuta ni kweli walifika ila hawakukaa wameondoka walisema hawajaridhika na mazingira. Jamaa wakasepa, baada kama ya nusu robo saa mhudumu akaja kuniambia wameondoka tunaweza kuondoka. Wakati nafungua mlango ili niondoke akawa ananivuta mkono akijidai anataka gemu kwa maelezo anajua kwamba hiyo ndiyo mwisho wetu. Nikagoma nikaondoka nikamwacha yeye akijiandaa kuondoka, wakati natoka nikapita mlango wa nyuma nikaenda dirishani nikamwambia ampigie simu mshua wake amwambie tena chumba alichokuwepo.
Mpaka leo sitasahu hilo tukio, ijapokuwa mpaka kesho bado tunamawasiliano na huwa namuuliza kwa nini alifanya vile huwa ananiambia kwamba alibanwa sana na ili asalimishe ndoa yake ilibidi lazima afanye hivyo, lakini alimhakikishia kwamba hatanidhuru ndio maana akakubali kula njama.
Hawa wanawake tuwaone tu, wakiamua kukugeuka wanageuka mara moja tu wakibanwa .kama na wewe umewahi kutana na mazingira kama hayo karibu tushare experience ni wapi nilikosea, kwa sababu pamoja na kunusurika bado naendelea na huo mchezo lakini siku hizi nakuwa makini sana.
Kuwa mwaminifu ni shida pia mkuu.Shida yote ya nini bora uwe muaminifu
KABISA!Kuwa mwaminifu ni shida pia mkuu.
Ni suala la opportunity cost.