Sitosahau alichonifanyia Lowassa na wenzake

Sitosahau alichonifanyia Lowassa na wenzake

Kama sito washughulikia mafisadi basi msiniite raisi na nitajiudhuru.
 
Lowassa mlipoteza mudawenu bure
Nyie mlikurupuka
Tuliwaambia
Lowassa kwenda Ikulu Ni ndoto

Sasa kuna VILAZA wengine wanajaribu kurudi NA nyimbo ileile ya huyu Laana
Nawapa pole
 
Ulidhani hivo vicent havitaisha? Endelea kuisoma namba. Ile ilikuwa temporary employment. Tafuta ajira inayoeleweka.

Nadhani umemshauri vema mleta mada. Kwanza nikiri kuwa kwa kuusoma tu uzi wake anaonekana uwezo na uelewa wake wa masuala ya siasa ni mdogo mno. Ona hata uandikaji wa hoja zake,uwasilishaji na mategemeo yake huyu asingeweza kukubaliwa kuandamana na kumnadi nguli wa siasa na alietegemewa kuiongoza nchi nikiwa na maana mh.Lowassa na nikiri wala huyu sio mwanachama wa ukawa bali aliependa kuwa pandikizi la upande wa pili. Siasa za mh.Lowassa ni za kistaarabu na zinazoheshimu sheria na ndio maana hukumsikia akilumbana na wagombea uraisi wenzake,polisi na wala tume hadi leo amepewa heshima kubwa. Kwa ufuasi mkubwa aliokuwa nao na wakishuhudia uchakachuaji mkubwa uliokuwa ukiendelea upande wa pili Lowassa na chama chake walihakikisha kuwa vijana wao hawaingii barabarani kudai haki zao kwani wanayaelewa madhara ya uchochezi wa aina hiyo.Nina imani vijana walisubiri tu amri ya viongozi wao kutoa amri ya kuingia barabarani lakini kwa busara za viongozi hilo halikuruhusiwa kwani walielewa zipo taratibu halali za kuzidai hizo haki na hilo lilimjengea heshima kubwa Lowassa na kilichofuata ni mataifa ya nje kumtunuku nishani zaidi ya kumi kutambua unguli na ustaarabu wake katika siasa.Nadhani umesoma michango ya wachangiaji wengi wakisema u-meya wa jiji la Dar peke yake figisu ni kama unavyoziona je kwa uraisi si ina maana kumwaga zamu za watanzania wengi bila sababu hilo Lowassa aliliona mapema.Mageuzi ni mchakato na sio kazi ya muda mfupi kama wewe na wengine wanavyofikiria.Wala usidhani Lowassa alikaa kimya baada ya kutotangazwa kwake hapana amefanya na anafanya mengi ndani ya ukawa. Wabunge wa majimbo wameongezeka,viti maalum madiwani na nafasi nyingine.Sasa kama perdiem zako zilikoma baada ya uchaguzi mkuu ulitakiwa uwe umeshajua la kufanya. Kama ulidhani kila siku ni Ijumaa umepotea na J'pili zimo hukuweka akiba katika hizo hela hata kazi hukuwa umejifunza?Kama ni buku saba wa Lumumba Magufuli anakabidhiwa kofia ya ccm taifa mwezi June mwaka huu huo mradi anaufunga mara moja. KAZI HUJIFUNZA UJANANI NA SIO UZEENI ITAKULA KWAKO.
 
Sijawahi kuona tofauti ya lowassa na kikwete
 
Una uhakiks lowasa alishindwa? Magufuli mwenyewe unajua kabisa pale alipo sio halali kapitia mlango wa nyuma ccm ilishaanguka vibaya sna ndo mana wanahangaika kila matokeo yaliyosalia umeya jiji la dar urais zanzibar mapingamiz ya ubunge hivyo tayar ni viashilia vya ccm kushindwa lowasa kaachia tu kuachia kwake kumekufanya leo ukae kwa utulivu na kuandika hizo mada zako za kujufariji bado lowasa ni mshindi hata magufuli anatambua hilo ndo mana hilizungumzii
Mbona siuoni upinzani imara sasa inafikia hatue et wanatetea watumishi wazembe wanawajibishwa wakati walisha jisahau??? Nahitaji upinzani wenye tija sasa.
 
Mbona siuoni upinzani imara sasa inafikia hatue et wanatetea watumishi wazembe wanawajibishwa wakati walisha jisahau??? Nahitaji upinzani wenye tija sasa.
upinzani upo tena una tija ndo mana unaona kufukuzana saiv kumeshamili bila upinzan mambo mengi tusingeyajua na kusikia mfano escrow halafu unadai upinzani wenye tija ikiwa watu wa escrow waneshindwa chukuliwa hatua na serikali
 
Nadhani umemshauri vema mleta mada. Kwanza nikiri kuwa kwa kuusoma tu uzi wake anaonekana uwezo na uelewa wake wa masuala ya siasa ni mdogo mno. Ona hata uandikaji wa hoja zake,uwasilishaji na mategemeo yake huyu asingeweza kukubaliwa kuandamana na kumnadi nguli wa siasa na alietegemewa kuiongoza nchi nikiwa na maana mh.Lowassa na nikiri wala huyu sio mwanachama wa ukawa bali aliependa kuwa pandikizi la upande wa pili. Siasa za mh.Lowassa ni za kistaarabu na zinazoheshimu sheria na ndio maana hukumsikia akilumbana na wagombea uraisi wenzake,polisi na wala tume hadi leo amepewa heshima kubwa. Kwa ufuasi mkubwa aliokuwa nao na wakishuhudia uchakachuaji mkubwa uliokuwa ukiendelea upande wa pili Lowassa na chama chake walihakikisha kuwa vijana wao hawaingii barabarani kudai haki zao kwani wanayaelewa madhara ya uchochezi wa aina hiyo.Nina imani vijana walisubiri tu amri ya viongozi wao kutoa amri ya kuingia barabarani lakini kwa busara za viongozi hilo halikuruhusiwa kwani walielewa zipo taratibu halali za kuzidai hizo haki na hilo lilimjengea heshima kubwa Lowassa na kilichofuata ni mataifa ya nje kumtunuku nishani zaidi ya kumi kutambua unguli na ustaarabu wake katika siasa.Nadhani umesoma michango ya wachangiaji wengi wakisema u-meya wa jiji la Dar peke yake figisu ni kama unavyoziona je kwa uraisi si ina maana kumwaga zamu za watanzania wengi bila sababu hilo Lowassa aliliona mapema.Mageuzi ni mchakato na sio kazi ya muda mfupi kama wewe na wengine wanavyofikiria.Wala usidhani Lowassa alikaa kimya baada ya kutotangazwa kwake hapana amefanya na anafanya mengi ndani ya ukawa. Wabunge wa majimbo wameongezeka,viti maalum madiwani na nafasi nyingine.Sasa kama perdiem zako zilikoma baada ya uchaguzi mkuu ulitakiwa uwe umeshajua la kufanya. Kama ulidhani kila siku ni Ijumaa umepotea na J'pili zimo hukuweka akiba katika hizo hela hata kazi hukuwa umejifunza?Kama ni buku saba wa Lumumba Magufuli anakabidhiwa kofia ya ccm taifa mwezi June mwaka huu huo mradi anaufunga mara moja. KAZI HUJIFUNZA UJANANI NA SIO UZEENI ITAKULA KWAKO.
Ahsante kwa hoja yako japo imejaa mipasho na siasa rahisi ambazo kwazo unajiona ni think tank.

Hoja yangu haikua juu ya kusababisha machafuko ili aingie madarakani, mimi nimejaribu kuhoji ni vip alituhakikishia usalama wa kura zetu teena kwa kusema za ubunge lindeni za urais tuache?? Alafu matokeo yake wabunge ndio wameongezeka zakwake anakuja kusema zimeibiwa.
Alikua na hoja kwamba yeye ametoka ndani ya ccm akiwa moja ya waasisi hivo anajua meng katka siasa hasa hiz za uchaguzi,akajinadi anakundi kuubwa litamfuata na wengine wanabaki ccm kama maspy wake ili kujua wanapanga nn awashinde, kikowapi...
Kwa akili yako unadai alihangaika sijui kisheria ili apewe haki yake ni sheria ipi ambayo alikua haijui wakati katiba tu ya nchi na miswada ya sheria ngap zimepita yeye akiwa madarakani tena upande wa ndioooo... Inamaana hakujua makusudi ya hizo sheria kubana demokrasia kwakuupa nguvu ccm tuu???
Unapohitaji kujibu hoja zangu ujue humjibu mtz wabkawaida waliozoea maigizo ya upinzani na ccm.
 
upinzani upo tena una tija ndo mana unaona kufukuzana saiv kumeshamili bila upinzan mambo mengi tusingeyajua na kusikia mfano escrow halafu unadai upinzani wenye tija ikiwa watu wa escrow waneshindwa chukuliwa
hatua na serikali
Hujaniekewa yaan haya yanayofanyika sasa ni matokeo ya upinzani imara uliopita na si wasasa ambao umekufaaa.
 
Habari waugwana!
Hii leo nitafakari yangu ya mda mrefu juu ya matokeo ya uchaguzi mkuu mwaka jana2015.

Uchaguzi huu umeacha vijana na watu wengi wakiwa wamekata tamaa na butwaa hatakuelewa ni wapi tunaelekea kama taifa.

Mtu ambaye amevunja moyo watanzania ni mheshimiwa kipenzi cha watu weng tanzania hasa vijana ambao waliapa kumuweka madarakani kama mkomboz wao,tena mm nikiwa mmoja wapo ambae nilihakikisha nazunguka nae nchi nzima.

Lowassa uliniadi mm na watz wataka mabadiliko kwamba ananguvu ya kuishinda ccm nikuitupilia mbali tukakubali kwamba wewe ndie na ukatumia misemo ya baba wa taifa kwamba wakuimaliza ccm ni atatokea ccm akidai ni yeye.

Sasa Lowassa umekua kama babu asiye na meno wala nguvu za mwili ccm wamejaa nguvu na ubabe umekaa kimya sijui ni kwa aibu kutokana na uongo wako wa ICj.

Lowassa umeiua siasa ya upinzani tanzania sasa hamna siasa mlipo tuhakikishia mtalinda kura za urais sisi tupige baadae nawe wa lialia et umeonewa pamoja kwamba nakupenda mzee wangu ila ulitutumia kama katuni na mateso haya ya watz kupoteza tumaini la demokrasia inaweza ikawa laana kwako tunaomba uhakikishe unarudisha upinzani wetu imara tumaini la vijana na watanzania weng wanaoamini tz itaendelea baada ya kuiondoa ccm nalo ndilo tumaini letu sote.
Teh Teh pole sana kwa kudanganywa na Lowasa...
 
Mbona siuoni upinzani imara sasa inafikia hatue et wanatetea watumishi wazembe wanawajibishwa wakati walisha jisahau??? Nahitaji upinzani wenye tija sasa.

pia mnapotoa hoja za kwamba upinzani wenye tija muwe mnarejea na madhaifu ya chama tawala mfano umeya jiji la dar ni dhahiri ccm imeshindwa, urais zanzibar pia hata huku bara bado faulo ni nyingi sna sijui upinzan upi unataka ulio na tija ikiwa ccm haitak kushindwa inachekesha sna kuitetea ccm pia ni huzuni kwa wale walio na maono ya mbali kwa comment yako.
 
Mkuu wajua nini, hapo Lumumba mmezidi sana uzushi, mko wambea Na wanafiki, kutokana Na hayo wananchi wAnawakataa ila mwafanya kulazimisha, mwaka wa Jana mmekataliwa lkn mwalazimisha, Zenzibar mmekaraliwa mwalazimisha, umeya hamtakiwi lkn bado tu mwatumia mabavu, ninyi ni viumbe wa aina gani
Hivi kweli kabisa mkuu ulikua unataka lowasa awe rais wa tanzania.
 
Back
Top Bottom