Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 37,338
- 56,039
Wanasema, ulivyokuwa unafurahia kuzimwaga ufurahie hivyo hivyo na kwenye kulea 😀😀Nkutaftie majibu ya sperm analysis jumatatu uonekane hauwezi kutungisha mimba
Jumanne unaenda kuwawashia moto waseme hizo mimba wamepewa na nani
Wakishindwa kumtaja mwingine wamejipa talaka
Wewe usijali hapo tunaweka una mbegu zenye tail tu hauwez kuweka mimba mtu.Wanasema, ulivyokuwa unafurahia kuzimwaga ufurahie hivyo hivyo na kwenye kulea 😀😀
Mbaya zaidi, mtoto akitoka anakuwa na chata ya kwako, hapo itakuwaje?Wewe usijali hapo tunaweka una mbegu zenye tail tu hauwez kuweka mimba mtu
Muumba hakukosea kukiweka paleNakushauri uende kwa mganga aondoe hicho kikojoleo chako ili wakose ushahidi kuwa ww ndiye baba
Kulea ni sunna, malipo ya reaching high level of excitement sexually ndio hayo mkuu so tufurahie tu matunda yetu.😄 Mimba mbili si zakuchanganya kama unashuguri au kazi inayokuingizia kipato. Ila jua kuna technic si yakukuumiza sana ya kulea mwanamke anayedai anaujauzito wako😊Dakika 20 zilizopita, nimepokea simu kutoka kwa pisi kali moja matata iliyokuwa inanizungua huko nyuma kwenye ule uzi 'nimeutua mzigo mzito', ananiambia amefanya leo vipimo ana ujauzito wangu, wa mwezi mmoja.
Baada ya kupata taarifa hiyo, nikajua kinachofuata hapa ni kujiandaa kwa malezi, kibaya zaidi kuna mchepuko mwingine ana ujauzito wangu wa miezi mitatu; na wote wameamua kulea mpaka kuja kujifungua.
Binafsi, nipo njia panda, najua hapa majukumu yanaongezeka; kwa hiyo mkiniona huko mjini naongea mwenyewe barabarani mjue sababu iliyonisababisha ni hii.
Kwa hali hiyo, sitongozi tena; watoto waliopo wananitosha.
''Nendeni duniani mkazae na muongezeke''Kwa sababu ya umalaya wako? Hongera baba wawili
Ebu nipe hiyo technic; kwa sababu mpaka sasa hivi timu ya mpira imekamilikaKulea ni sunna, malipo ya reaching high level of excitement sexually ndio hayo mkuu so tufurahie tu matunda yetu.😄 Mimba mbili si zakuchanganya kama unashuguri au kazi inayokuingizia kipato. Ila jua kuna technic si yakukuumiza sana ya kulea mwanamke anayedai anaujauzito wako😊
Ni baraka ila kwa hii timu ya mpira, lazima nikongoroke, ebu soma hii..Watoto ni baraka.
Asante sana, ila nitakuwa na vijana kama 11 hivi, mnionee huruma mkuuHongera baba wawili
Asante, changamoto ni kwenye malezi, mlo wa mchana lazima debe la mahindi liisheHongera
Tunatakiwa tuijaze dunia, ''nendeni duniani mkazaliane na muongezeke''; tunatakiwa tuipendezeshe dunia kwa watu, chata yako.Sure! Acha zinaa na uasherati.
Familia zenyewe tunaishi chini ya Dola Moja na elimu bure wala hukongoroki...weka vituNi baraka ila kwa hii timu ya mpira, lazima nikongoroke, ebu soma hii..
Wewe ndio chanzo cha umasikini katika familia yenu
Katika familia, gharama hazipo kwenye kuzaa tu; bali gharama zipo kwenye malezi. Na kwa mazingira ya sasa, unaweza kuta kijana ana miaka zaidi ya 30, lakini bado anaishi kwao, huku akiendelea kuwapa mzigo mzito wazazi wake. Kwa nini nasema wewe ndio chanzo cha umasikini wa kwenu; ni kwa...www.jamiiforums.com