Sitogombea ubunge wala sinahamu nao

Sitogombea ubunge wala sinahamu nao

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
8,476
Reaction score
12,666
Naona bora niitafute akhera yangu badala ya kuitafuta dunia zaidi.
Nikiwa mbunge nitakosa muda wa kumtumikia muumba wangu badala yake nitamikia chama changu.
Mtume (s.a.w) amesema:



"Dunia ni gereza kwa Muumini na pepo kwa kafiri."
(Sahih Muslim)

2. Akasema tena:

"Kuishi kwangu katika dunia ni kama msafiri aliyepumzika chini ya mti kisha akaondoka na kumuacha."
(Tirmidhi, Ahmad)

3. Abdullah ibn Umar (r.a) amesema:

Mtume (s.a.w) alinichukua mabegani na kusema: "Ishi katika dunia kama mgeni au mpitaji."
(Sahih Bukhari)
 
Screenshot_20250621-163009~2.jpg
 
Wazee wa kulia Lia attention seeker
Ni kawaida yenu enyi wavaa ..........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom