MPEPE
Senior Member
- Oct 20, 2012
- 155
- 65
Ndugu yangu,yawezekana,lakini nina dvn 3 ya 25,na ilivyokuwa nilipata nafasi ya kwenda jesh na nyingine kwenda ualimu wakanikataza na wakadai niwaskilze je ni kwel m ninakosa?
tabia vp? Certification inaweza ikawa sio prob and it cant make you perfect before people,ninamwanangu na mimi anasifa hizo hizo...hapendi kujituma kazi nyumbani,tabia mbovu,uvaaji nguo poor,hapendi studiez awapo shule....ili kupunguza huu mzigo na stress hapa kwangu nataka nimpeleke veta asije niharibia wadogo zake make analeta ma cd ya kuangalia daily