Sithaminiwi....

Sithaminiwi....

Ndugu yangu,yawezekana,lakini nina dvn 3 ya 25,na ilivyokuwa nilipata nafasi ya kwenda jesh na nyingine kwenda ualimu wakanikataza na wakadai niwaskilze je ni kwel m ninakosa?

tabia vp? Certification inaweza ikawa sio prob and it cant make you perfect before people,ninamwanangu na mimi anasifa hizo hizo...hapendi kujituma kazi nyumbani,tabia mbovu,uvaaji nguo poor,hapendi studiez awapo shule....ili kupunguza huu mzigo na stress hapa kwangu nataka nimpeleke veta asije niharibia wadogo zake make analeta ma cd ya kuangalia daily
 
Inawezekana kuna mahali umeharibu kwa kujua au kwa kutokujua kwahiyo ni bora uwatafute uongee nao then utajua kwanini wamekutenga kwa mujibu wa maelezo yako
 
Niliposhindwa kuchaguliwa kujiunga na kidato cha tano dada yangu (mwalimu) na kakangu (businessman kimataifa) walinitafutia chuo cha MIFUGO NA KILIMO Iringa,nilipata nafasi hiyo na wakanipeleka. Lakin tangu nifike huko mwezi wa kumi 2012,ndugu zangu hawanipigii hata simu mpaka kuna wakati niliugua niliwajuza kwa sms sikuona hata missed call,nikaamua kupiga kwa dada matokeo yake simu ilipokelewa na rafii yake akaniambia ""usimsumbue dada yako ana majukumu nengi''.

Nikasaidiwa na wanafunzi wenzangu. Mwez wa 12 tukafunga tarehe 12, ikiwa niliwajuza pia kwa hili wiki mbili kabla,nikaamza kuomba nauli hawakupiga tena mpaka siku ya kufunga tukafukuzwa shuleni twende makwetu nikaondoka.

Mpaka sasa sijaona simu yao kupigiwa na nina wiki moja sijaenda shulenI nikipiga na kuuma sms hawajibu.

Nifanyeje jamani INANIUMA SANA, naomben ushauri

Pole ndugu!
 
Back
Top Bottom