Sioni cha maana anachofanya kwenye muziki. Huyu jamaa afanye shughuli zingine maana shule ameenda si haba, labda kama alisoma kwa kukariri. Kipaji cha muziki hana kama anavyojiona yeye. Naamini ana uwezo wa kufanya mambo mengine vizuri zaidi. Ni moja ya "macelebrity"wanaojielewa.