Sitatongoza tena, naanza kununua wanaojiuza

Sitatongoza tena, naanza kununua wanaojiuza

genious wa kijiji

Senior Member
Joined
May 1, 2014
Posts
173
Reaction score
250
nawasalimu

Hali hii ya baridi inanifanya nizidi kujisikia mpweke.

Toka mwaka umeanza nimetongoza wasichana 11 lakini wote wamenikataa. sitaki kutongoza tena saivi naanza kununua malaya.

uzuri wa malaya Unatoa hela unakula mzigo..hupati stress za kijinga, hupigwi mizinga kila mara n.k

Nadhani kwa namna hii huu upweke wangu wa kingono utaisha.
 
Unselected kea pabaya mkuu, hebu jaribu kutawala hizo hisia hutoteseka tena, fikiria productive things na sio ngono, unaweza ukajifurahisha kwa mambo mengi tu, Pia sikushauri ujiunnge Chaputa bcoz utakuja juta ukishaingia kwenye mahusiano na mwanamke,
Suala LA kukataliwa na 11 sio guarantee kuwa huna bahati ya kupendwa,
Tatizo lipo kwenye fikra zako, unataka upewe majibu unayoyataka were kwa wakati huohuo, mda mwingne wanawake hawamaanishi wanachokisema,
,Punguza tatizo LA kupaniki, pia acha kujidharau, wekeza kwenye self improvement, mambo yatajipa yenyewe.
 
Siyo mkosi mkuu wangu hiyo ni bahati
nzuri Mungu amekuepusha na kifo.
Kati ya hao ulio watongoza kuna waliokuwa na mkosi wa kwamba kila mwanaume anaye fanya naye mapenzi anakufa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom