Tushaibiwa wengi jamani, mi kuna demu ndo alikuwa amemeliza form six kipindi hicho na mimi nikisubiri kwenda chuo baada ya kusota mwaka mzima mitaani maana Enzi hizo waliokuwa wanaunga chuo ni watoto wa wenye nazo tu. Sa kile kitu cha kipare nilikuwa nakisotea kweli kweli, kidemu cha ukweli chenye rangi niipendayo, rangi ya chungwa. Kikanihakikishia hakijawahi kimegwa na full mihakikisho. Siku ya siku kikaja mabibo hostel bwana, nikatunga sera na sheria kichwani kuhusu kuwachapa washkaji exile nikaona itakuwa noma maana msoto wa kuhangaika na bikira room za jirani wanaweza kusikia na kuamua kupandisha viti ili wale chabo kwenye wavu wa mlangoni (maana mabibo hostel tulikuwa tunapeana kaupenyo ka kupiga konzi au maarufu kama chabo). Basi nikamtuma mshikaji wangu mmoja aende nyumba za wageni pale jirani anitafutie chumba, potelea mbali kama demu akitosa kwenda, kwanza boom ndo lilikuwa limetoka toka tu. Mshikaji akapata room na kuni-text, "mwana njoo ubanjue hymen aka nyuzinyuzi za bikira, room tayari" . Basi nikamzuga yule binti anisindikize nje nikanunue mazagazaga, akakubali bila hiayana. Kufika nje nikaona nimuambie tu kuwa mle room washkaji wanataka kufanya discussion, so nimeona tuchukue chumba tupige story tu. Sa sijui binti alikuwa amejisahau kuwa alishawahi kuniambia kuwa hajawahi kufanya ngono? E bwana eh ile kuzama room naanza kushika maeneo kiuoga oga naona napata mapokezi mazuri tuu, nikazidi kusonga mbele na kushika papuchi na kujaribu na vidole, mamaa weeee, kidole cha kwanza kidogo kabisaa, kikazama, nikatoa nikaweka kidole cha kusontea nacho hichoooooooo, enheeee, nikaona labda naota ngoja nijaribu kuviunganisha vidole vya katikati vyote vitatu, hapo ndo nilitaka kulia kabisaa, fyooooooolkllll ku...... zake, yaani niliishiwa pozi mwenzenu, na uume ukasinyaa pozi zote zikaniisha. Eti kanambia dear panda, nipo vibaya mwenzio, yaani nilitamani nikazibue zibue zibue mabuti na mavibao na vipepsi na makonzi. Nikatoka nikaacha ndani na sikapendi hadi leo.