Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 37,156
- 55,651
Imenipa uvivu kusoma
Hii chai bhana..otherwise kuna mahala pa kurekebisha..kwanza alisema ana shahada ya Sayansi ya Jamii kisha akabadilika ana shahada ya IT..kwengine hajakosoe kutiririka sana..alaste viste..
Binafsi nimekuelewa sana mkuu, follow your heart, go for it. Usikubali kuvunjwa moyo na mtu yeyote, songa mbele kaka