mtegemea Mungu
JF-Expert Member
- Jun 6, 2016
- 290
- 502
Wasukuma Bora HATA wangekuwaga washirikina Tu kama wanyamwezi... Wao Ni wachawi kabisa.. HATA teknolojia ya misukule wao ndio wame Ivumbua
Kabisa hili kabila ni shida
Wasukuma Bora HATA wangekuwaga washirikina Tu kama wanyamwezi... Wao Ni wachawi kabisa.. HATA teknolojia ya misukule wao ndio wame Ivumbua
Ambao hatujaoa tuna mtihani sana kutambua mke mwema ni yupi unakwepa malaya unaangukia kwa mchawi
Aisee Mungu atusaidie sana
Uchawi na umalaya hauangalii umri ata mtoto wa miaka miwili uweza kuta ni mchawiAu unapata mchawi na malaya vyote vyake......sometimes bora kuoa vitoto vidogo kwenye age ya 19-25.
Uchawi na umalaya hauangalii umri ata mtoto wa miaka miwili uweza kuta ni mchawi
Kuomba Mungu tu mbali na hapo ni kuishi kwa timingSasa tufanyaje..
Na wewe pia uliponea kwenye tundu ya sindano kwa mha wako. Mnaishi wapi mpaka mnakutana na watu wa ajabu hivi?Wakuu mmebarikiwa Sana sana na Mwenyezi Mungu.
Moja Kwa moja kwenye hoja. Aisee hizi ndoa hizi bro alioa mdada mmoja WA kisukuma toka kahama Dada alikuwa na mashauzi hatari kulinga Kama kote akaweza kumtawala na mama mkwe wake yaani akamaliza Kila kitu kwani Wana familia wote tukawa tunaonekana makapuku tuu.
Sasa akiwa kazini na Yeye si anakupa usingz mzito usiamkeUkitaka kumjua mwanamke mchawi fanya hv ikifika usiku saa 9 mmelala kitanda kimoja mshike mkono wa kushoto ukiona wa moto piga chin haraka sn tatizo lenu hamkai maskan mshana jr kaongeq sn humu hata udi kuchoma hujui
Heh, makubwa, unatakiwa uwejeUkitaka kumjua mwanamke mchawi fanya hv ikifika usiku saa 9 mmelala kitanda kimoja mshike mkono wa kushoto ukiona wa moto piga chin haraka sn tatizo lenu hamkai maskan mshana jr kaongeq sn humu hata udi kuchoma hujui
daah...Ambao hatujaoa tuna mtihani sana kutambua mke mwema ni yupi unakwepa malaya unaangukia kwa mchawi
Aisee Mungu atusaidie sana
Nimekaa seat ya mbele kabisa ukija na bandiko lako usisahahu kuni tagMi niliishi nae na nilimgundua wiki ya kwanza tu kuja ghetto, nilikuta kikaratasi ameandika jina langu afu mbele jina lake then jina langu hivyo hivyo karudia kama mistari saba hivi, ila kiukweli kama kuna watu siwaogopi kwa sababu na uhakika hamna kitu wanaeza nifanya ni wanawake washirikina.
Nilimvumilia ila kichwani nilishaweka akilini kwamba ni mwanamke ambaye siwezi, sitoweza kuishi naye nlikuwa namuobserve tu nijue washirikina wanafananaje. Ila kilichonifanya nimtimulie mbali ni uchafu washirikina ni wachafu na ukiwa na mwanamke mshirikina ndani mwako hamna baraka ya Mungu itakosea njia iingie hapo, ni michafu hii mijitu Acha kabisa.
NB. Nilichojifunza katika research yangu
I) hawa wanawake washirikina wana nuksi na mikosi ukiishi naye utapata pesa kwa shida sana na ukiipata anakuwa tayari kakutajia vitu anavyotaka umnunulie hivyo hata hiyo hela umnulie usimnunulie hauta ona ilipoenda utajikuta tu umeishiwa (mahitaji anayokutajia sio mahitaji ni manuizi)
2) wanapenda kukuchokoza, kufanyia maksudi/drama ilimradi akutibue tu anakutingisha kama umejaa (kuna siku nlitaka nimtwange nyundo ya bichwa hapo ndo wazo la Kimungu likanijia nimtimue aende kwao)
Angalizo: ukigundua mwanamke wako Ana haya mambo timua bila hata kuomba ushauri mahali, la sivyo ipo siku yatatokea majanga mkubwa zaidi either akumalize au ummalize.
Nitaandaa uzi ni namna gani nilimgundua na ni mambo gani huwa wanaenda kufanyia labda itawasaidia wanaume we zangu kutuepusha na hili janga.
Dah pole sana mkuu huu mkasa unatishaUlivyoelezea nimetoka machozi yaani mkasa wa bro wako na mimi tofauti ni kabila la mwanamke,mimi mke wangu alikuwa mpare lakini matukio yote yanafanana,nilimpa talaka kwa kuvizia aliaga anaenda kwa dada yake kusalimia nikampiga red card juu kwa juu,pia alijaribu kumrithisha uchawi binti yetu,si hivyo tu watoto wa kwanza walikuwa mapacha walifariki ktk mazingira tatanishi kumbe mwenzangu katoa kafara ili apate cheo kwny chama chao cha uchawi,yaani ukimwona huyo mwanamke jinsi alivyo na matukio anayofanya unaweza sema anasingiziwa.namuonea huruma sana jamaa furani anaekwenda kumuoa hivi punde.
Hao watu hapana staki hata mazoea naoImebidi nichangie kwsbb nmeona ‘mpare’ wadada wa kipare ni hatari jmn! Km sio mchawi basi mshirikina!
Kakangu mtoto wa shangazi alipelekeshwa sana na ni mahusiano tu! Alikuja tu kushtuka baada ya kukuta vitu vimeandikwa kiaarabu na majina yake ndo aliposhtuka!
Ukiskia wamoto kama kuni ama moto wake unakuwaje?Ukitaka kumjua mwanamke mchawi fanya hv ikifika usiku saa 9 mmelala kitanda kimoja mshike mkono wa kushoto ukiona wa moto piga chin haraka sn tatizo lenu hamkai maskan mshana jr kaongeq sn humu hata udi kuchoma hujui