Huo ni utani msiuchukulie sana, kuna jamaa ninayemfahamu aligusa ziwa la msichana anayemwona kuwa ni mzuri sana, tena juu ya nguo, akasema hatonawa mkono huo kwa mwezi mzima. Ni utani tu, ingawa kwa wasichana na wavulana si jambo la ajabu popote ulimwenguni.
Hamjaona wasichan na wavulana wakiwania angalau kumwona fan wao kama vile waimbaji, wachezaji mpira, wacheza filamu?
Ikiwa haya yanafanyika ulimwenguni kote, kuna ajabu gani yakifanyika Tanzania? Je kama mvulana angesema hivyo kwa kukamata mkono wa JD, au msichana kumata mkono wa Kanumba?