The Knowledge Seeker
JF-Expert Member
- Apr 13, 2019
- 3,001
- 4,172
Kawe Alumni wanakuchokoza huku
Wenye akili kama zako kwenye chama chako wako hawapo tena. Wenzio wako bize kujipendekeza.Sina haja ya kusubiri kampeni zianze ili nishawishike. Sina haja ya kuuficha ukweli huu. Mwaka 2015, nilimsambaratisha Lowassa na kumpigia kura mgombea wa CCM yangu Dr.John P. Magufuli. Baada ya miaka yake mitano madarakani, nimekata shauri kuwa SITAMPIGIA KURA. Kupiga au kutopiga kura kwa mgombea, kwa kila mtanzania, kuna sababu yake. Kwangu mimi kinachonivutia ni kuongoza kikatiba, kisheria, kikanuni na kistaha.
Mimi Mzee Tupatupa, kada mwandamizi wa CCM, SITAMPIGIA KURA Dr. Magufuli pamoja na kuwa ni mgombea wa chama changu. Kitendo chake na kauli zake za KUHODHI FEDHA za Serikali kimenifanya nitafakari na kuamua nilivyoamua. Dr. Magufuli amejipambanua kama 'mmiliki pekee' wa fedha za nchi hii zilizopaswa kusimamiwa na Bunge. Kila apitapo, husema kuwa 'ninawapa/ninawaletea' kiasi fulani za fedha kana kwamba fedha hizo ni zake binafsi.
Kitendo cha kuhodhi hivyo kimezalisha watanzania wanafiki na watu wa kujipendekeza. Utawasikia: 'Rais ametuletea shilingi....... kwa ujenzi wa madarasa; Rais amekubali kutuletea shilingi....kwa ajili ya barabara' na kadhalika. tena utawasikia: 'Rais ametujengea…...', 'Rais amejenga…..'.Hapo Rais anachorwa kama aliyehodhi mfuko wa Hazina na fedha zote za Serikali . Hili si jambo la kuliunga mkono wala la kumpa kura mgombea wa aina hii.
Fedha za nchi zina utaratibu wake wa kukusanywa, kutumika na kukaguliwa. Kuhodhiwa na mtu mmoja si jambo jema wala la kuungwa mkono. Kuwa kiongozi wa Serikali hakutoshi kumfamya mhusika kuhodhi fedha zote za umma. Kwa hilo tu, SITAMPIGIA KURA. Haya ni maamuzi yangu binafsi.
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa jijini Dodoma)
Na kazi zote hufanya mwenyewe maana hata mawaziri wake husema Jpm ndie kafanya na sio waoSina haja ya kusubiri kampeni zianze ili nishawishike. Sina haja ya kuuficha ukweli huu. Mwaka 2015, nilimsambaratisha Lowassa na kumpigia kura mgombea wa CCM yangu Dr.John P. Magufuli. Baada ya miaka yake mitano madarakani, nimekata shauri kuwa SITAMPIGIA KURA. Kupiga au kutopiga kura kwa mgombea, kwa kila mtanzania, kuna sababu yake. Kwangu mimi kinachonivutia ni kuongoza kikatiba, kisheria, kikanuni na kistaha.
Mimi Mzee Tupatupa, kada mwandamizi wa CCM, SITAMPIGIA KURA Dr. Magufuli pamoja na kuwa ni mgombea wa chama changu. Kitendo chake na kauli zake za KUHODHI FEDHA za Serikali kimenifanya nitafakari na kuamua nilivyoamua. Dr. Magufuli amejipambanua kama 'mmiliki pekee' wa fedha za nchi hii zilizopaswa kusimamiwa na Bunge. Kila apitapo, husema kuwa 'ninawapa/ninawaletea' kiasi fulani za fedha kana kwamba fedha hizo ni zake binafsi.
Kitendo cha kuhodhi hivyo kimezalisha watanzania wanafiki na watu wa kujipendekeza. Utawasikia: 'Rais ametuletea shilingi....... kwa ujenzi wa madarasa; Rais amekubali kutuletea shilingi....kwa ajili ya barabara' na kadhalika. tena utawasikia: 'Rais ametujengea…...', 'Rais amejenga…..'.Hapo Rais anachorwa kama aliyehodhi mfuko wa Hazina na fedha zote za Serikali . Hili si jambo la kuliunga mkono wala la kumpa kura mgombea wa aina hii.
Fedha za nchi zina utaratibu wake wa kukusanywa, kutumika na kukaguliwa. Kuhodhiwa na mtu mmoja si jambo jema wala la kuungwa mkono. Kuwa kiongozi wa Serikali hakutoshi kumfamya mhusika kuhodhi fedha zote za umma. Kwa hilo tu, SITAMPIGIA KURA. Haya ni maamuzi yangu binafsi.
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa jijini Dodoma)
Piga chini Magufuli,ajiandae kukabidhi nchi!Hakuna sauti ya kumtoa Rais Magufuli mwaka huu , tusidanganywe na sauti za wale 'wapayukaji'
Umesahau kashindwa kulipa wafanyakazi wavuja jasho mishahara tangu alipoingia na sasa anaodokaSina haja ya kusubiri kampeni zianze ili nishawishike. Sina haja ya kuuficha ukweli huu. Mwaka 2015, nilimsambaratisha Lowassa na kumpigia kura mgombea wa CCM yangu Dr.John P. Magufuli. Baada ya miaka yake mitano madarakani, nimekata shauri kuwa SITAMPIGIA KURA. Kupiga au kutopiga kura kwa mgombea, kwa kila mtanzania, kuna sababu yake. Kwangu mimi kinachonivutia ni kuongoza kikatiba, kisheria, kikanuni na kistaha.
Mimi Mzee Tupatupa, kada mwandamizi wa CCM, SITAMPIGIA KURA Dr. Magufuli pamoja na kuwa ni mgombea wa chama changu. Kitendo chake na kauli zake za KUHODHI FEDHA za Serikali kimenifanya nitafakari na kuamua nilivyoamua. Dr. Magufuli amejipambanua kama 'mmiliki pekee' wa fedha za nchi hii zilizopaswa kusimamiwa na Bunge. Kila apitapo, husema kuwa 'ninawapa/ninawaletea' kiasi fulani za fedha kana kwamba fedha hizo ni zake binafsi.
Kitendo cha kuhodhi hivyo kimezalisha watanzania wanafiki na watu wa kujipendekeza. Utawasikia: 'Rais ametuletea shilingi....... kwa ujenzi wa madarasa; Rais amekubali kutuletea shilingi....kwa ajili ya barabara' na kadhalika. tena utawasikia: 'Rais ametujengea…...', 'Rais amejenga…..'.Hapo Rais anachorwa kama aliyehodhi mfuko wa Hazina na fedha zote za Serikali . Hili si jambo la kuliunga mkono wala la kumpa kura mgombea wa aina hii.
Fedha za nchi zina utaratibu wake wa kukusanywa, kutumika na kukaguliwa. Kuhodhiwa na mtu mmoja si jambo jema wala la kuungwa mkono. Kuwa kiongozi wa Serikali hakutoshi kumfamya mhusika kuhodhi fedha zote za umma. Kwa hilo tu, SITAMPIGIA KURA. Haya ni maamuzi yangu binafsi.
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa jijini Dodoma)
Sisi wafanyakazi wizara ya kilimo hapa dodoma hatujaongezwa mishahara mipya tangu MEKO alipoingia sasa tumeamua hatutompa kura zetuWapiga dili mmevumilia mpaka mmeona mtoe povu. Mlizoea kuzichota, sasa hamna mwanya mnatapatapa.
Kura yako hiyo moja haiwezi kumnyima ushindi. Kwanza inaweza kuwa ni kati ya zile zinazoharibika.
Mtajiju na kada wenuShida sana kada wa Chadema anapofanya maigizo kama kada wa CCM.
Naona hii kauli umeigeuza taarabu?..Hebu sema dili Gani zilizobanwa?.. mbona zinapigwa as usual!..hata yeye anazipiga,,,Mfano Rushwa ipo pale pale,,,Wapiga dili mmevumilia mpaka mmeona mtoe povu. Mlizoea kuzichota, sasa hamna mwanya mnatapatapa.
Kura yako hiyo moja haiwezi kumnyima ushindi. Kwanza inaweza kuwa ni kati ya zile zinazoharibika.
Mkuu,Mangi salama
Sijui serikali hii ilikukosea nini? Ningeshangaa sana kama nisingekuona kwenye huu uzi hapa.
Kila jambo wewe huwa nikupinga na kuponda.
Unaboa sana, ningekuwa moderator nishachoma akaunti yako kitambo sana.
Mmmh duMkuu,
Kuna kuunga mkono na kupinga...
Mimi nimechagua kupinga,sasa unataka kunifanyia assasination sababu nimepinga?
Hebu tuwaache wanadamu na uhuru zao almradi haja-empede yours!
Nashangaa leo mtu kupinga hoja umeigeuza crime!
Hata kama napinga kila kitu,niache nipinge,wewe unga mkono!
Yanini unataka kuniua sababu tu hua sipo upande wako wa kuunga?
Why all this hate and extremism?
Usipompa sisi tutampa usiwe na shida mkuu
Ya kweliLabda kura atapewa na mkewe...hadi wanyama wetu unawatesa ili waende Rwanda..Atafute Chimbo mapema
Wewe na mimi tunafanana sana, mwaka 2015 nilikuwa mmoja ya wafuasi wakubwa wa Magufuli, ila kitendo chake cha kutulimisha na meno kimenifanya nimuone hafai hata kwa kulumangia na ugaliSina haja ya kusubiri kampeni zianze ili nishawishike. Sina haja ya kuuficha ukweli huu. Mwaka 2015, nilimsambaratisha Lowassa na kumpigia kura mgombea wa CCM yangu Dr.John P. Magufuli. Baada ya miaka yake mitano madarakani, nimekata shauri kuwa SITAMPIGIA KURA. Kupiga au kutopiga kura kwa mgombea, kwa kila mtanzania, kuna sababu yake. Kwangu mimi kinachonivutia ni kuongoza kikatiba, kisheria, kikanuni na kistaha.
Mimi Mzee Tupatupa, kada mwandamizi wa CCM, SITAMPIGIA KURA Dr. Magufuli pamoja na kuwa ni mgombea wa chama changu. Kitendo chake na kauli zake za KUHODHI FEDHA za Serikali kimenifanya nitafakari na kuamua nilivyoamua. Dr. Magufuli amejipambanua kama 'mmiliki pekee' wa fedha za nchi hii zilizopaswa kusimamiwa na Bunge. Kila apitapo, husema kuwa 'ninawapa/ninawaletea' kiasi fulani za fedha kana kwamba fedha hizo ni zake binafsi.
Kitendo cha kuhodhi hivyo kimezalisha watanzania wanafiki na watu wa kujipendekeza. Utawasikia: 'Rais ametuletea shilingi....... kwa ujenzi wa madarasa; Rais amekubali kutuletea shilingi....kwa ajili ya barabara' na kadhalika. tena utawasikia: 'Rais ametujengea…...', 'Rais amejenga…..'.Hapo Rais anachorwa kama aliyehodhi mfuko wa Hazina na fedha zote za Serikali . Hili si jambo la kuliunga mkono wala la kumpa kura mgombea wa aina hii.
Fedha za nchi zina utaratibu wake wa kukusanywa, kutumika na kukaguliwa. Kuhodhiwa na mtu mmoja si jambo jema wala la kuungwa mkono. Kuwa kiongozi wa Serikali hakutoshi kumfamya mhusika kuhodhi fedha zote za umma. Kwa hilo tu, SITAMPIGIA KURA. Haya ni maamuzi yangu binafsi.
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa jijini Dodoma)