Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Tuliza huo mshono ili kidonda kiponeKwani uliwahi kumpa?
Tuliza huo mshono ili kidonda kiponeKwani uliwahi kumpa?
Yako wewe nai replace na ya kwangu so hajapoteza bado kajipange upya na propaganda zako za kujamba jamba.Sina haja ya kusubiri kampeni zianze ili nishawishike. Sina haja ya kuuficha ukweli huu. Mwaka 2015, nilimsambaratisha Lowassa na kumpigia kura mgombea wa CCM yangu Dr.John P. Magufuli. Baada ya miaka yake mitano madarakani, nimekata shauri kuwa SITAMPIGIA KURA. Kupiga au kutopiga kura kwa mgombea, kwa kila mtanzania, kuna sababu yake. Kwangu mimi kinachonivutia ni kuongoza kikatiba, kisheria, kikanuni na kistaha.
Mimi Mzee Tupatupa, kada mwandamizi wa CCM, SITAMPIGIA KURA Dr. Magufuli pamoja na kuwa ni mgombea wa chama changu. Kitendo chake na kauli zake za KUHODHI FEDHA za Serikali kimenifanya nitafakari na kuamua nilivyoamua. Dr. Magufuli amejipambanua kama 'mmiliki pekee' wa fedha za nchi hii zilizopaswa kusimamiwa na Bunge. Kila apitapo, husema kuwa 'ninawapa/ninawaletea' kiasi fulani za fedha kana kwamba fedha hizo ni zake binafsi.
Kitendo cha kuhodhi hivyo kimezalisha watanzania wanafiki na watu wa kujipendekeza. Utawasikia: 'Rais ametuletea shilingi....... kwa ujenzi wa madarasa; Rais amekubali kutuletea shilingi....kwa ajili ya barabara' na kadhalika. tena utawasikia: 'Rais ametujengea…...', 'Rais amejenga…..'.Hapo Rais anachorwa kama aliyehodhi mfuko wa Hazina na fedha zote za Serikali . Hili si jambo la kuliunga mkono wala la kumpa kura mgombea wa aina hii.
Fedha za nchi zina utaratibu wake wa kukusanywa, kutumika na kukaguliwa. Kuhodhiwa na mtu mmoja si jambo jema wala la kuungwa mkono. Kuwa kiongozi wa Serikali hakutoshi kumfamya mhusika kuhodhi fedha zote za umma. Kwa hilo tu, SITAMPIGIA KURA. Haya ni maamuzi yangu binafsi.
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa jijini Dodoma)
Shida kubwa ya ninyi wanaCCM ni kujifanya ni wazalendo sana au wazalendo pekeenu wakati hata uongozi tu mnanunua kwa rushwa! Rushwa ni adui na dhuluma ya haki! Je hapo uzalendo uko wapi?? Je maslahi mapana ya Taifa letu mmeyazingatia vipi????Akiandika ukweli ule mchungu ukawii kulaumu, napata wakati mgumu kujua wafuasi wa upinzani wanasimamia wapi linapokuja suala la maslahi mapana ya nchi na yenye tija kwa vizazi vijavyo
Kwa bahati mbaya una miaka mingine mitano zaidi ya kuumia iwapo atakataa kuongezewa muda itakapofika 2025Naumia Sana mimi mlipakodi ninapoona raisi anachezea hazina yetu.
Ujinga, ubinafsi, ushamba Sasa baaaasi!
Shikamoo Mzee Vuta NkuvuteSina haja ya kusubiri kampeni zianze ili nishawishike. Sina haja ya kuuficha ukweli huu. Mwaka 2015, nilimsambaratisha Lowassa na kumpigia kura mgombea wa CCM yangu Dr.John P. Magufuli. Baada ya miaka yake mitano madarakani, nimekata shauri kuwa SITAMPIGIA KURA. Kupiga au kutopiga kura kwa mgombea, kwa kila mtanzania, kuna sababu yake. Kwangu mimi kinachonivutia ni kuongoza kikatiba, kisheria, kikanuni na kistaha.
Mimi Mzee Tupatupa, kada mwandamizi wa CCM, SITAMPIGIA KURA Dr. Magufuli pamoja na kuwa ni mgombea wa chama changu. Kitendo chake na kauli zake za KUHODHI FEDHA za Serikali kimenifanya nitafakari na kuamua nilivyoamua. Dr. Magufuli amejipambanua kama 'mmiliki pekee' wa fedha za nchi hii zilizopaswa kusimamiwa na Bunge. Kila apitapo, husema kuwa 'ninawapa/ninawaletea' kiasi fulani za fedha kana kwamba fedha hizo ni zake binafsi.
Kitendo cha kuhodhi hivyo kimezalisha watanzania wanafiki na watu wa kujipendekeza. Utawasikia: 'Rais ametuletea shilingi....... kwa ujenzi wa madarasa; Rais amekubali kutuletea shilingi....kwa ajili ya barabara' na kadhalika. tena utawasikia: 'Rais ametujengea…...', 'Rais amejenga…..'.Hapo Rais anachorwa kama aliyehodhi mfuko wa Hazina na fedha zote za Serikali . Hili si jambo la kuliunga mkono wala la kumpa kura mgombea wa aina hii.
Fedha za nchi zina utaratibu wake wa kukusanywa, kutumika na kukaguliwa. Kuhodhiwa na mtu mmoja si jambo jema wala la kuungwa mkono. Kuwa kiongozi wa Serikali hakutoshi kumfamya mhusika kuhodhi fedha zote za umma. Kwa hilo tu, SITAMPIGIA KURA. Haya ni maamuzi yangu binafsi.
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa jijini Dodoma)
Unafiki haujauanza leo. Kwendraaa. Sisi tutampa kura zoteSina haja ya kusubiri kampeni zianze ili nishawishike. Sina haja ya kuuficha ukweli huu. Mwaka 2015, nilimsambaratisha Lowassa na kumpigia kura mgombea wa CCM yangu Dr.John P. Magufuli. Baada ya miaka yake mitano madarakani, nimekata shauri kuwa SITAMPIGIA KURA. Kupiga au kutopiga kura kwa mgombea, kwa kila mtanzania, kuna sababu yake. Kwangu mimi kinachonivutia ni kuongoza kikatiba, kisheria, kikanuni na kistaha.
Mimi Mzee Tupatupa, kada mwandamizi wa CCM, SITAMPIGIA KURA Dr. Magufuli pamoja na kuwa ni mgombea wa chama changu. Kitendo chake na kauli zake za KUHODHI FEDHA za Serikali kimenifanya nitafakari na kuamua nilivyoamua. Dr. Magufuli amejipambanua kama 'mmiliki pekee' wa fedha za nchi hii zilizopaswa kusimamiwa na Bunge. Kila apitapo, husema kuwa 'ninawapa/ninawaletea' kiasi fulani za fedha kana kwamba fedha hizo ni zake binafsi.
Kitendo cha kuhodhi hivyo kimezalisha watanzania wanafiki na watu wa kujipendekeza. Utawasikia: 'Rais ametuletea shilingi....... kwa ujenzi wa madarasa; Rais amekubali kutuletea shilingi....kwa ajili ya barabara' na kadhalika. tena utawasikia: 'Rais ametujengea…...', 'Rais amejenga…..'.Hapo Rais anachorwa kama aliyehodhi mfuko wa Hazina na fedha zote za Serikali . Hili si jambo la kuliunga mkono wala la kumpa kura mgombea wa aina hii.
Fedha za nchi zina utaratibu wake wa kukusanywa, kutumika na kukaguliwa. Kuhodhiwa na mtu mmoja si jambo jema wala la kuungwa mkono. Kuwa kiongozi wa Serikali hakutoshi kumfamya mhusika kuhodhi fedha zote za umma. Kwa hilo tu, SITAMPIGIA KURA. Haya ni maamuzi yangu binafsi.
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa jijini Dodoma)
Endelea kushupaza shingo hadi ivunjike.Hata usipompigia kura bado watanzania wengine kwa wingi watampigia kura. Tupatupa wakati wa kwenda pale Lumumba kupewa fedha za bure umekwisha.
Mkuu Rais Magufuli ndio kiongozi pekee jasiri aliyetokea kutaka kuleta mabadiliko za kiuchumi sio waliomtangulia walibaki kupiga dili. Tufunge mikanda kwa hali hii ila ninauhakika Rais Magufuli atatuvusha kuelekea uchumi imara Africa Mashariki na Kati
Jidanganyeni tuWapiga dili mmevumilia mpaka mmeona mtoe povu. Mlizoea kuzichota, sasa hamna mwanya mnatapatapa.
Kura yako hiyo moja haiwezi kumnyima ushindi. Kwanza inaweza kuwa ni kati ya zile zinazoharibika.
SIJAWAHI mpa kura......Kwani uliwahi kumpa?
Hujawahi kumpa lakini bado AKAWA Rais wako.SIJAWAHI mpa kura......
Usichojua ni kwamba on 28th October 2020 another opportunity presents itself kwangu mimi kukata shingo yake kwa mwara ya pili!
I cant wait!
Ni hilo tu? Kumbe na wewe ni mweupe tu kama huyo aliyejaa vinasa sauti mwili mzimaSina haja ya kusubiri kampeni zianze ili nishawishike. Sina haja ya kuuficha ukweli huu. Mwaka 2015, nilimsambaratisha Lowassa na kumpigia kura mgombea wa CCM yangu Dr.John P. Magufuli. Baada ya miaka yake mitano madarakani, nimekata shauri kuwa SITAMPIGIA KURA. Kupiga au kutopiga kura kwa mgombea, kwa kila mtanzania, kuna sababu yake. Kwangu mimi kinachonivutia ni kuongoza kikatiba, kisheria, kikanuni na kistaha.
Mimi Mzee Tupatupa, kada mwandamizi wa CCM, SITAMPIGIA KURA Dr. Magufuli pamoja na kuwa ni mgombea wa chama changu. Kitendo chake na kauli zake za KUHODHI FEDHA za Serikali kimenifanya nitafakari na kuamua nilivyoamua. Dr. Magufuli amejipambanua kama 'mmiliki pekee' wa fedha za nchi hii zilizopaswa kusimamiwa na Bunge. Kila apitapo, husema kuwa 'ninawapa/ninawaletea' kiasi fulani za fedha kana kwamba fedha hizo ni zake binafsi.
Kitendo cha kuhodhi hivyo kimezalisha watanzania wanafiki na watu wa kujipendekeza. Utawasikia: 'Rais ametuletea shilingi....... kwa ujenzi wa madarasa; Rais amekubali kutuletea shilingi....kwa ajili ya barabara' na kadhalika. tena utawasikia: 'Rais ametujengea…...', 'Rais amejenga…..'.Hapo Rais anachorwa kama aliyehodhi mfuko wa Hazina na fedha zote za Serikali . Hili si jambo la kuliunga mkono wala la kumpa kura mgombea wa aina hii.
Fedha za nchi zina utaratibu wake wa kukusanywa, kutumika na kukaguliwa. Kuhodhiwa na mtu mmoja si jambo jema wala la kuungwa mkono. Kuwa kiongozi wa Serikali hakutoshi kumfamya mhusika kuhodhi fedha zote za umma. Kwa hilo tu, SITAMPIGIA KURA. Haya ni maamuzi yangu binafsi.
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa jijini Dodoma)
Tusizungumze kwa ushabiki. Mambo aliyoyazungumza Tupa Tupa ni ya msingi sana. Kiongozi wa nchi hastahili kuhodhi fedha za umma wala rasilimali za Taifa. Yeye ni msimamizi tu. Wenye fedha ni wananchi.Wapiga dili mmevumilia mpaka mmeona mtoe povu. Mlizoea kuzichota, sasa hamna mwanya mnatapatapa.
Kura yako hiyo moja haiwezi kumnyima ushindi. Kwanza inaweza kuwa ni kati ya zile zinazoharibika.
Sasa who cares nyie kumpa kura?Hujawahi kumpa lakini bado AKAWA Rais wako.
Hongera kwa kujipa matumaini kuwa this time HATAKUWA, wakati wanaompa kura wanajadili kumshawishi 2025 akubali aendelee kuwa RAIS wako.
Sasa who cares nyie kumpa kura?
Ni haki yenu kumpa kama ilivyo haki yangu kutompa!
Sijakuingilia wewe kwa kumpa,cha ajabu unaniingilia mimi kwa kutompa,matusi yote ya nini kwangu na nime-exercise my freedom of choice?
Hajawa rais wangu,kawa rais wenu!
Moyoni kwangu sijamtambua,nyie mnamtambua,who cares?
Kwenye makaratasi kaandikwa ni Rais wa Tanzania,doesnt mean namtambua!
Mimi kumtambua au kutomtambua haiwaingilii kwa lolote,chapeni mwendo na majukumu yenu!
Mimi binafsi SIMPI kura,na sio kwamba waliompa mara ya kwanza watampa tena,hakuna guarantee hiyo,waache waamue,wao ndio wana maamuzi,ni ajabu wewe kukaa humu na kuwaaamulia!
Mimi binafsi najisemea kama mimi,,kwamba SIMPI kura yangu,,wananchi wengine wachague wanachokitaka,kama hutaki andamana!