HongeraMke ni ni tulizo la moyo ndani ya familia,ni kweli kuna wakati anakosea na unatamani umpige lakini usipomkunja naye hujiona ni mfalme ndani ya nyumba.
Itoshe kusema ukiwa na mke wako jambo lolote utakalomwambia afanye atalifanya kwa kuwa anajua yeye ndiye mwenye hati miliki.
Nitaendelea kumlinda na kumheshimu mke wangu kamwe sitajibizana na kumrushia maneno mithili ya korea na marekani
Ok! time will tell. Hawa viumbe hawatabiriki omba Mungu SanaMke ni ni tulizo la moyo ndani ya familia,ni kweli kuna wakati anakosea na unatamani umpige lakini usipomkunja naye hujiona ni mfalme ndani ya nyumba.
Itoshe kusema ukiwa na mke wako jambo lolote utakalomwambia afanye atalifanya kwa kuwa anajua yeye ndiye mwenye hati miliki.
Nitaendelea kumlinda na kumheshimu mke wangu kamwe sitajibizana na kumrushia maneno mithili ya korea na marekani
Nitumie namba yako mie mbona hizi makitu nimeanza ku practise kitamboSafi Sana
Wanaume wote wangekuwa kama ww mbona tungenenepa
Lkn loh kuna wengine zogo mpaka masikio kuuma akaaa shida gani hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimejifunza kitu kimoja, ukiona argument inakuwa hot na hasira zinaanza kutawala, ukiongea nae anaongea, ukipandisha sauti nae anapandisha, nyamaza, usijibu kitu, unaweza kutoka nje ukafanya matembezi "yasiyo rasmi" ili kutuliza munkari, then ukirudi muongee
Ila ukipata mwanamke asiye na staha, mpayukaji, mropokaji na mwenye matusi, omba hekima na busara toka kwa Mungu. Sisi tuliobahatisha wanawake wasikivu na wastaarabu tukiwanyooshea mkono tutapata dhambi kubwa.
Mfalme.usipomkunja naye hujiona ni mfalme ndani ya nyumba.
Kwetu Tarime ndiyo unampenda atiHapana kumpiga haisaidii rafiki. Tuachane na poor beliefs! kwamba kumpiga mwanamke ndo eti unampenda..
Mahondaw wa Smart911
Hongera mkuu ni jambo zuri hilo .Mke ni ni tulizo la moyo ndani ya familia,ni kweli kuna wakati anakosea na unatamani umpige lakini usipomkunja naye hujiona ni mfalme ndani ya nyumba.
Itoshe kusema ukiwa na mke wako jambo lolote utakalomwambia afanye atalifanya kwa kuwa anajua yeye ndiye mwenye hati miliki.
Nitaendelea kumlinda na kumheshimu mke wangu kamwe sitajibizana na kumrushia maneno mithili ya korea na marekani