Mke ni ni tulizo la moyo ndani ya familia,ni kweli kuna wakati anakosea na unatamani umpige lakini usipomkunja naye hujiona ni mfalme ndani ya nyumba.
Itoshe kusema ukiwa na mke wako jambo lolote utakalomwambia afanye atalifanya kwa kuwa anajua yeye ndiye mwenye hati miliki.
Nitaendelea kumlinda na kumheshimu mke wangu kamwe sitajibizana na kumrushia maneno mithili ya korea na marekani
Itoshe kusema ukiwa na mke wako jambo lolote utakalomwambia afanye atalifanya kwa kuwa anajua yeye ndiye mwenye hati miliki.
Nitaendelea kumlinda na kumheshimu mke wangu kamwe sitajibizana na kumrushia maneno mithili ya korea na marekani