Kyachakiche
JF-Expert Member
- Feb 16, 2009
- 986
- 210
Ndugu mwanajf, kwenye mada hii unakaribishwa kuelezea kitu chochote unachoona hukitaki kama ambavyo mimi sitaki haya:
1.Sitaki Serikali inayosahau ahadi zake kwa wanachi kama; Maisha bora kwa kila Mtanzania, Ajira milioni moja, mahakama ya Kadhi na kumaliza mpasuko wa kisiasa Zanzibar!
2.Sitaki serikali ambayo kwa kupitia vyombo vyake vya dola kushindwa kukomesha mauaji wa Albino na Vikongwe, kubaini wezi wa Kagoda, Meremeta na Mwanachi Gold Mines!
3.Sitaki Waziri Mkuu aseme kwamba hawezi kuzungumzia tena maswala ya Meremeta hata kama ikibidi atoswe!
4.Sitaki Spika awachukulie hatua za nidhamu wabunge wa upinzani pale inaposemekana wamekwenda kinyume na kanuni kama ilivyowahi kutokea kwa Zito, Cheyo, Slaa na Ndesamburo ili hali wenzao wa CCM wakiachwa kama vile Mdhihiri, Selelii, Mhaghama na Mpendazoe!
5. Sitaki Serikali ikwepe jukumu la ulinzi huko Tarime na Rorya na kusingizia Halmashauri hadi kutishia kupeleka jeshi huko!
6.
7.
8.....
Karibuni tuendeleze
1.Sitaki Serikali inayosahau ahadi zake kwa wanachi kama; Maisha bora kwa kila Mtanzania, Ajira milioni moja, mahakama ya Kadhi na kumaliza mpasuko wa kisiasa Zanzibar!
2.Sitaki serikali ambayo kwa kupitia vyombo vyake vya dola kushindwa kukomesha mauaji wa Albino na Vikongwe, kubaini wezi wa Kagoda, Meremeta na Mwanachi Gold Mines!
3.Sitaki Waziri Mkuu aseme kwamba hawezi kuzungumzia tena maswala ya Meremeta hata kama ikibidi atoswe!
4.Sitaki Spika awachukulie hatua za nidhamu wabunge wa upinzani pale inaposemekana wamekwenda kinyume na kanuni kama ilivyowahi kutokea kwa Zito, Cheyo, Slaa na Ndesamburo ili hali wenzao wa CCM wakiachwa kama vile Mdhihiri, Selelii, Mhaghama na Mpendazoe!
5. Sitaki Serikali ikwepe jukumu la ulinzi huko Tarime na Rorya na kusingizia Halmashauri hadi kutishia kupeleka jeshi huko!
6.
7.
8.....
Karibuni tuendeleze