Jamani lizy upo.... Hebu tueleze epsod seven tayari mmh?
Kama hawezi kutumia mengine ya kuvutia aniite jina langu tu!!!
"Aliyekuwa" Mkuu sijui unaelewa definition ya hilo neno
Not anymore
Sasa jombaa mbona unachangaya madawa si umeishasema "alikuwa" which means she is not anymore wa kwako tena
Nilitaka kuuliza hv hv amesema "ALIKUWA" Wivu wa nini tena nimechoka kabisa
Ki-sweet haujambo wewe
ila kweli mana habari inaleta utata hasira za nn sasa ulikua wataka abaki bila mtuUmesema aliyekuwa demu wako sasa hasira za nini? Au ufafanue kama mmeachana baada ya kushuhudia hilo tukio.
Nipo mtu wangu...episode 7 is coming soon so vumilia kiduuunchu!
Wifi nategemea uwe upande wangu ujue...hata kama nimekosea!!Mi ndo nshanuna kabisaa! Wifi unatuonea ujue
we ulisema wa nini mwingine alikuwa anawaza atampata lini, afu tabia ya kuchungulia madirisha yasiyokuhusu acha mara moja unaona sasa kwako alikuwa haguni kwa njemba hili anaguna mpaka unasikia barabarani hahaha!JUzi tu nilimfumania live demu mmoja aliyekua demu wangu wa karibu yaani my soulmate
inaniuma ila sijui ni solve vipi
tulikua tunapita kwenye uchochoro fulanai mitaa ya uswahilini mererani wakati tunapita
kuna sauti za migunio zilikua zinatokea kwenye chumba karibu tulipokua tunapita mara
jamaa yangu akachungulia akashtuka alivyoshtuka akanifanya nami nitake kujua
usiende mbio maana nilichokiona naishia hapa .. tuk tuk tuk tuk tuk tuk tuk .......
hayio yalikua mapigo ya moyo maana ni hatari kwa kweli labda niwe nanunua changudoa lakini
vinginevyo sitaki demu.................kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.. aaaaaaaaaaaaaaaaa
nawasilisha kwenu jwana wa jf........................
we ulisema wa nini mwingine alikuwa anawaza atampata lini, afu tabia ya kuchungulia madirisha yasiyokuhusu acha mara moja unaona sasa kwako alikuwa haguni kwa njemba hili anaguna mpaka unasikia barabarani hahaha!
Cha kufanya kama bado unampenda:
-msamehe na kumrudia -kama atakubali inaonesha huyu jamaa mziki wake sio wa kitoto lol!
-hama mtaa arifu kimunuka
-vuta kifaa kingine fasta utasahau haya,hili la kujichua ukivuta picha yake haitakusaidia.
Hii sitaki nataka ni janga la taifa kwa jinsia zote.Kamanda umeuwa!
jamaa kesho lazma akapime bladi presha baada ya kusoma hii post yako. Dah! jamaa anahitaji ufariji wewe umempa za uso. khaaa!
Kamanda nalog out, lakini wewe ndo hauonekani bana! jana tulikutafuta sana kwenye sredi ya husninyo kule jukwaa la malalamiko lakini haukuonekana, au tayari ile viza yako ya Zimbabwe wamekupatia?Hii sitaki nataka ni janga la taifa kwa jinsia zote.
JUzi tu nilimfumania live demu mmoja aliyekua demu wangu wa karibu yaani my soulmate
inaniuma ila sijui ni solve vipi
tulikua tunapita kwenye uchochoro fulanai mitaa ya uswahilini mererani wakati tunapita
kuna sauti za migunio zilikua zinatokea kwenye chumba karibu tulipokua tunapita mara
jamaa yangu akachungulia akashtuka alivyoshtuka akanifanya nami nitake kujua
usiende mbio maana nilichokiona naishia hapa .. tuk tuk tuk tuk tuk tuk tuk .......
hayio yalikua mapigo ya moyo maana ni hatari kwa kweli labda niwe nanunua changudoa lakini
vinginevyo sitaki demu.................kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.. aaaaaaaaaaaaaaaaa
nawasilisha kwenu jwana wa jf........................