Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 15,393
- 25,184
Ushasikia wapi mwanaume anazaa? Mtoto apitie huko nyuma?Mimi natumia p2 sitaki ujauzito maana itanichakaza.naitanitoa kwenye soko.
Ushasikia wapi mwanaume anazaa? Mtoto apitie huko nyuma?Mimi natumia p2 sitaki ujauzito maana itanichakaza.naitanitoa kwenye soko.
Shoga huyo kizazi anakitoa wapiView attachment 3669266
P2 itakuchakaza zaidi maana sio njia ya uzazi wa mpango, nenda hospitali watakushauri vizuri .