Watu wamelima maisha yao yote mvua hakuna na zikinyesha kodi kibao, wamachinga wanahangaika kila siku, huku wakifukuzwa kila kukicha, bodaboda wanahangaika kodi zakufa mtu na mjini hawatakiwi kuingia. Leo anakuja mtu anawaambia nyie ni wavivu fanyeni kazi, na asiyefanya kazi na asile. Kifupi Hapa kazi tu as if hawafanyi kazi. The results ni kunywa viroba tu....
Hivi vidude ni fake sana ndomana utakuta hata mwanamke anavipiga hata zaidi ya 10 na anakuwa vizuri kama una hela bora ujinunulie Jack Daniel au bia hapo unakuwa vizuri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.