Sitaki kutapatapa

Sitaki kutapatapa

Nachukia watu wa aina yako, kwani kujiunga kwake katika kipindi cha huo muda mfupi we kinakuhusu nini, unachotakiwa wewe ni kumpa ushauri au upige kimya tu...itawezekanaje kuanza na kuanza tu, mtu awe na post au like nyingi kama unavyotaka..sio issue mkuu ni bora ungekaa kimya hakuna mtu ambaye angeulizia uwepo wako..
 
Nachukia watu wa aina yako, kwani kujiunga kwake katika kipindi cha huo muda mfupi we kinakuhusu nini, unachotakiwa wewe ni kumpa ushauri au upige kimya tu...itawezekanaje kuanza na kuanza tu, mtu awe na post au like nyingi kama unavyotaka..sio issue mkuu ni bora ungekaa kimya hakuna mtu ambaye angeulizia uwepo wako..

Nashukuru kwa kunisaidia kumtoa tongotongo huyo mtu,m nlishindwa kumjibu k2 kwan nlikuwa mbal kifikra
 
Usichoke kabisa kwani mapenzi ni swala mtambuka maana tunaweza sema sana maana atujue upande wako kuna kiti gani ambacho ulimfanyia mpaka akawa amebadilika kiasi hicho tulia usichoke kama mungu alikupangia uwe nae basi utakuwa nawe.

Ahsante kwa faraja yako kaka
 
Ndio maana siku hizi siombi ushauri humu, maana unaweza kufa kwa pressure kutokana na majibu utakayopata.

Binadam ndugu yangu tunatofautiana,utafanyaje unapokuwa tatizo? inabid kuyakabil yote
 
Piga chini braza mida ya bunge hii mi najua mzee wa F*CK YOU atakuwa anapiga mzigo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom