kama haujui maumivu ya upweke unaweza usione umuhimu wa kunisaidia. Kifupi ni kuwa nimekuwa mtu wa kukataliwa kiasi cha kupoteza kabisa hata hamu ya kutongoza. Kuna mtu nimetokea kumzimia na tumezoeana kidogo and she z also single,i wish to get her pliiiiiiz assist me labda nijihisi furaha na faraja ya uwepo wa mapenzi duniani cz toka niachane na my first about seven years ago sijawahi tena kuwa ktk mahusiano ya kimapenzi sio kwamba sihitaji ila ninatoswa mpaka basi hivi ninavyoandika yaani huu mwezi nishatoswa na mademu wawili . Tatizo langu ni nini ?coz hata sielewi ,ni maneno yangu ?,mwonekano wangu ?,hali yangu ya kiuchumi ?mbona wanaonitosa mimi wanatoka na watu ambao nawazidi sana kiuchumi (kimtazamo), pliz assist cz i m badly heart with how this love thing happen to me......sitaki kumpoteza huyu sweet lady nisaidieniiii, mbaya zaidi kuna rafiki yangu ana msululu wa mabinti kama mswati so ninapoongozana nae akisindikiza one of her girls,huwa inaniumiza nikikumbuka jinsi rejections zinavyoniandama.....