Sitaki kufa nifanyeje?

Mimi nna miaka 290 sasa hivi kwa style hiyo. Naikubali. Ila jihadhari na kuotangaza kijana
 
Post iwafikie ma Ethiest wote..@Al - Watan @Charmilton
 
Well said
 
Mpokee Yesu, awe Bwana na Mokozi wa maisha.Kifo cha mwili ni lazima kwa kila binadamu, labda kwa wale tutakaokuwa hai mpaka Yesu atakaporudi 1 Thessalonians 4:17. Ukifa,wakati umempokea Yesu Kristo utaishi milele pamoja na Yesu katika mbingu mpya na nchi mpya Ufunuo 21:1. Roho ya binadamu huwa haifi, ni mwili tu. Roho inaishi milele either jehanamu ya moto penye kilio na kusaga meno,mathayo 13:42, au mbinguni penye raha ya milele ufunuo 21: 4. Don't to choose to go to hell, choose Jesus. He is the only one who can save you from hell.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…