Michael Ngusa
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 1,637
- 463
Habari wapendwa,
Nimetuma maombi ya kazi kwa kila anuani niliyoipata kwenye Google, kwa kampuni za media, video na printing hapo Dar es salaam...licha ya kufollow up hata kwa simu lakini hakuna positive feedback! Position zote ambazo nina cover; Graphic designer, Video editor, Animator, Photographer na hata Social media manager, Creative duties officer, Digital coordinator....zooote hizi, na kila moja ikiwa na custom CV, Application letter na Samples of my works / Portfolio, lakini hamna anayeniita. Nimepungukiwa nini? I have a clean 2 years experience from a corporate company, utasema labda kazi sio nzuri, hebu angalia link zangu...hizi kazi sio nzuri????
Graphics Design:
Portfolio - Michael Ngusa
Motion Graphics Design/2D&3D Animation:
https://www.youtube.com/watch?v=tOfcbs5ZJQg
https://www.youtube.com/watch?v=tHfbe6OE860
Video Editing:
https://www.youtube.com/watch?v=EUeP7OQ7vtk
Web Design:
Natural African Leather Products
My Blog - Michael Ngusa - Home
More shockingly, kila nikigoogle tena, post zipo na zingine ni mpya!
Nimetuma maombi ya kazi kwa kila anuani niliyoipata kwenye Google, kwa kampuni za media, video na printing hapo Dar es salaam...licha ya kufollow up hata kwa simu lakini hakuna positive feedback! Position zote ambazo nina cover; Graphic designer, Video editor, Animator, Photographer na hata Social media manager, Creative duties officer, Digital coordinator....zooote hizi, na kila moja ikiwa na custom CV, Application letter na Samples of my works / Portfolio, lakini hamna anayeniita. Nimepungukiwa nini? I have a clean 2 years experience from a corporate company, utasema labda kazi sio nzuri, hebu angalia link zangu...hizi kazi sio nzuri????
Graphics Design:
Portfolio - Michael Ngusa
Motion Graphics Design/2D&3D Animation:
https://www.youtube.com/watch?v=tOfcbs5ZJQg
https://www.youtube.com/watch?v=tHfbe6OE860
Video Editing:
https://www.youtube.com/watch?v=EUeP7OQ7vtk
Web Design:
Natural African Leather Products
My Blog - Michael Ngusa - Home
More shockingly, kila nikigoogle tena, post zipo na zingine ni mpya!