'Moto Wangu' ndo nini??Nimetoka kapaWakuu nilkua na binti tena nlkua nampenda sana kwa moyo Wangu wote
Amenisaliti na kapigwa mimba juu tulikua tumepanga mengi mazuri hapo mbeleni sasa yote hayo yameenda na maji
Am totally frustrated wanawake mtu akikupenda mpende ila nashukuru am a man na I will stand like a man
Nilichoamua Mimi sitokaa nimwamini mwanamke na now days wadada I look them like trash sina mapenzi nao tena moto Wangu umekufa ganzi.
moto wako umekufa ganzi?Wakuu nilkua na binti tena nlkua nampenda sana kwa moyo Wangu wote
Amenisaliti na kapigwa mimba juu tulikua tumepanga mengi mazuri hapo mbeleni sasa yote hayo yameenda na maji
Am totally frustrated wanawake mtu akikupenda mpende ila nashukuru am a man na I will stand like a man
Nilichoamua Mimi sitokaa nimwamini mwanamke na now days wadada I look them like trash sina mapenzi nao tena moto Wangu umekufa ganzi.
Yashatokea aliona huna msimamo ndugu ndio mana kaondoka sio uliyepangiwa songa mbele wewe.utapata uliepangiwa okay.Wakuu nilkua na binti tena nlkua nampenda sana kwa moyo Wangu wote
Amenisaliti na kapigwa mimba juu tulikua tumepanga mengi mazuri hapo mbeleni sasa yote hayo yameenda na maji
Am totally frustrated wanawake mtu akikupenda mpende ila nashukuru am a man na I will stand like a man
Nilichoamua Mimi sitokaa nimwamini mwanamke na now days wadada I look them like trash sina mapenzi nao tena moto Wangu umekufa ganzi.
Ha ha ha umenichekesha wewwPole ila sio kila mzungu ni padre wengine ni mashekhe, usikatishwe tamaa na moja
Uliprove mkuu au hisia tu?Nilikuwa namuamini sana mke wangu nikagundua jamaa alikuwa anabandua, niliumia sana . Wanawake ni nyoka
Ha ha ha wewe mwenzako ana maumivuPole kwa kupigwa za usoooo
Si kila mzungu ni padre wengine ni wanyonya damu(mumiani)Pole ila sio kila mzungu ni padre wengine ni mashekhe, usikatishwe tamaa na moja
Usihofu kamanda ngariba haogopi mkojo. songa mbelePole ila sio kila mzungu ni padre wengine ni mashekhe, usikatishwe tamaa na moja
Mlikuwa wote chuo? Mapenzi ya chuo huishia siku ya graduation. Pole kaka.Wakuu nilkua na binti tena nlkua nampenda sana kwa moyo Wangu wote
Amenisaliti na kapigwa mimba juu tulikua tumepanga mengi mazuri hapo mbeleni sasa yote hayo yameenda na maji
Am totally frustrated wanawake mtu akikupenda mpende ila nashukuru am a man na I will stand like a man
Nilichoamua Mimi sitokaa nimwamini mwanamke na now days wadada I look them like trash sina mapenzi nao tena moto Wangu umekufa ganzi.
Wakuu nilkua na binti tena nlkua nampenda sana kwa moyo Wangu wote
Amenisaliti na kapigwa mimba juu tulikua tumepanga mengi mazuri hapo mbeleni sasa yote hayo yameenda na maji
Am totally frustrated wanawake mtu akikupenda mpende ila nashukuru am a man na I will stand like a man
Nilichoamua Mimi sitokaa nimwamini mwanamke na now days wadada I look them like trash sina mapenzi nao tena moto Wangu umekufa ganzi.
Haipunguzi maumivu ila inarudisha hadhi ya kiumeNa wewe tafuta wa mwenzako jipigie,inarudisha hadhi ya kiume
Ikiwa mwanamke ameweza kutamka maneno Haya Hii ni dhahiri kuwa mwanamke hapaswi kuamiwa katika maisha ya mahusiano?ila mwanamume anaaminiwa sio?? wakuaminiwa ni mama mzazi tu ikiwa alikuwek tumboni miezi 9 akakuzaa kwa uchungu na kukulea kwa umakini hadi ukakua basi hawezi kukudhuru wala kukuumiza
Pole, hauko peke ako,maumivu yake unayoyapata nayaelewa hakika,kama huna moyo was chuma unaweza kufa ukaacha Mali zako wengine wakala kiurahis, na ukisema umove on ndo unakutana na MTU haelewek,kwanza hana muda na wew, hakujal yaan had nahis hasira zinapanda tena,yaan jamn mpaka sasa nikitongozwa na mwanaume simuamin halaf nakuwa namjibu kwa hasira na nakata tamaa,naanza kusema huyu ndo kama yule wait aniache zang, unaweza ukawa na kila kitu lakn ukimkosa MTU was kukupenda hata asset ulizonazo waeza on a chungu, huwa nataman kukaabar lakin nashindwa natoka hadi karibu na eneo LA bar nikiona jinsi palivyo narudi mbio, pole sana ndugu tupo weng tunaouguza vidonda vya maumivuWakuu nilkua na binti tena nlkua nampenda sana kwa moyo Wangu wote
Amenisaliti na kapigwa mimba juu tulikua tumepanga mengi mazuri hapo mbeleni sasa yote hayo yameenda na maji
Am totally frustrated wanawake mtu akikupenda mpende ila nashukuru am a man na I will stand like a man
Nilichoamua Mimi sitokaa nimwamini mwanamke na now days wadada I look them like trash sina mapenzi nao tena moto Wangu umekufa ganzi.
Kwa kweli ifunguliwe tu maana mim nahis nitakuwa was kwanza kufungua kesi,Etieee Naona kuna umuhimu wa kuwa na mahakama ya mapenzi haiwezekani tukaumizana namna hii