Sitakaa nimuamini tena mwanamke

Thanks my brother me too sikuwahi kuwaza hivi but ime happen daah
 
Mkuu hawa viumbe hawaaminiki kabisa... Najua sasa hivii utapitia kipindi kigumu... Ila all in all funga mkanda utasahau yote na atakuja anayekupenda kwa dhati.....
 
Utamuamini tu mkuu, utasahau hayo, ila umepata shule Mkuu,....mshukuru Mungu
 
Uamuzi huu ni wa kivulana. Mwanamme hakayi tamaa, wala hawachukulii wanawake wote kuwa sawa.

Ananyanyuka, anafuta vumbi na anamshukuru Mola wake kwa kumuepushia mwanamke kama huyo ambae bila shaka angeleta janga kubwa zaidi endapo angeingia kwenye ndoa.

Hapo humshukuru Mungu na kusonga mbele kwa kusema : Next Please!
 
27 years na yeye 25 na tumedumu kwa miaka 4
Mkuu your too young kuharibu mipango yako kwa kufikiria mapenzi... Tena be thankful kakuambia mapema...

Cha msingi kwa sasa tafuta pesa tengeneza maisha yako... " Na imani kubwa kwa hapo baadae atakuja anaekupenda...

Pole sana aise najua utapitia kipindi kigumu kwa sasa ila huna budi You need to let it Go...
 
Asante saana mkuu nashukuru kwa ushauri. Naamini yataisha tuu
 
Mkuu unafahamu watu million 2 au umekosea hapo!??

Mkuu ni milioni 20, kuna watu walizaliwa ili kuandika historia

How many people did Stalin kill? | History of Russia

Kurudi kwa mleta maada : Jaribu kukumbuka jinsi ulivyokuwa na furaha ulivyompenda huyo aliyekutenda, wakati wote huo huyo hakuwa mtu sahihi lakini ulipata furaha, sasa jaribu kuwaza furaha utakayoipata utakapo mpata mtu sahihi, siku utakapompata huyo mtu sahihi ndio utaelewa kwanini mahusiano yako ya mwanzo yaliishia kati kati. Don't let one person define your whole life, ukianza kutoamini wanawake wote kwa sababu ya mtu mmoja, utakuwa unaidhulumu nafsi yako....take your time and chill !
 
Teh teh teh...! ww unaacha kuwaamini mm nazd kuwa na iman na nilie nae hakika nakuamini mwanamke wnguu
 
mkuu nahisi umemsomesha pia,pole sana kwa matatizo!
 
Dogo, Huna Mama wewe?? Huna Dada wewe? Ona haya kidogo tafadhali, Kama Ulikua unaahidi na hutekelezi Huna Sababu wala credit ya kuja kuwadhalilisha Mama zetu, wake zetu na mabinti zetu.

Kila Siku unapiga hadithi bila Vitendo sasa Ulitaka iweje??? Nao wana akili na utashi pia
 
Nimesema wadada mkuu sijasema wanawake.
 
Idadi kamili haijulikani mpaka sasa kuna wengine wanasema mpaka milioni 60, wengi wameishia kukubaliana katika hiyo milioni 20 ndio maana nikaichukua
Kwa maana hiyo... Aliua idadi sawa na wananchi wote wa Tanzania na Chenji Inabaki...

Kweli watu wamezaliwa kuweka Historia Duniani....
 
Hilo ni funzo mkuu,.hujui umeepushiwa na nn huko mbeleni....


Tujifunze kushukuru kwa yote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…