Sitafuti kazi Tena

sumu-ya-panya

JF-Expert Member
Aug 6, 2016
632
572
1>unaenda omba kazi mahali unasifa zote lakini kabila lako halitakiwi.
2>unaenda kuomba kazi mahali jinsia yako inaweza kukupa kazi au kukunyima.
3>unaenda kuomba kazi mahali wazamini tena wanaofanya kazi taasisi fulani uki emaging we ni mtoto wa kwanza kwa maskini alie kusomesha.
4>unaenda kuomba kazi kwavile unatokea kanda fulani utaambiwa mjanja mjanja ,wapenda ngono,wanajiuza,wambea,story sana ,kujiremba sana.
5>unaenda kuomba kazi unaulizwa uzoefu wa miaka 5 mpaka kumi? kwani ni urais uo.
6>Lazima uwe na Elimu fulani.
7>Maswali maswali eti unastail gani ya kuvaa nguo?
8>mara ulishapata mimba ngapi ukatoa?
9> Taja matusi kumi na tano unayoyajua na unayapenda? si majaribu haya?
10> Utampa nini ______________ ukipata kazi?
 
pamoja ya kwamba kujiajili kuna chnagamoto nyingi ikiwemo mitaji, aina ya biashara, kujiajili katika eneo ambalo huujalisomea na wala huna uzoefu nalo, nadhani umefika wakati wa vijana kuandaliwa kisaikolojia kuwa wasiwe na mawazo ya kuajiliwa, kwani wanaomaliza vyuo ni wengi sana kuliko soko la ajira
 
1>unaenda omba kazi mahali unasifa zote lakini kabila lako halitakiwi.
2>unaenda kuomba kazi mahali jinsia yako inaweza kukupa kazi au kukunyima.
3>unaenda kuomba kazi mahali wazamini tena wanaofanya kazi taasisi fulani uki emaging we ni mtoto wa kwanza kwa maskini alie kusomesha.
4>unaenda kuomba kazi kwavile unatokea kanda fulani utaambiwa mjanja mjanja ,wapenda ngono,wanajiuza,wambea,story sana ,kujiremba sana.
5>unaenda kuomba kazi unaulizwa uzoefu wa miaka 5 mpaka kumi? kwani ni urais uo.
6>Lazima uwe na Elimu fulani.
7>Maswali maswali eti unastail gani ya kuvaa nguo?
8>mara ulishapata mimba ngapi ukatoa?
9> Taja matusi kumi na tano unayoyajua na unayapenda? si majaribu haya?
10> Utampa nini ______________ ukipata kazi?
omba tu
 
duh iyo kaz ya mpaka kutaja matusi unayoyajua ni zaid ya ubar maid
 
9.taja matusii kumi unayojua na unayoyapenda. hahahahaha hizi interview zingine wanataka tu kutukanwa sasa.


Mi nilishawahi kuambiwa nitaje mistari ya bibilia na mimi nilikua sijui hata m1
 
1>unaenda omba kazi mahali unasifa zote lakini kabila lako halitakiwi.
2>unaenda kuomba kazi mahali jinsia yako inaweza kukupa kazi au kukunyima.
3>unaenda kuomba kazi mahali wazamini tena wanaofanya kazi taasisi fulani uki emaging we ni mtoto wa kwanza kwa maskini alie kusomesha.
4>unaenda kuomba kazi kwavile unatokea kanda fulani utaambiwa mjanja mjanja ,wapenda ngono,wanajiuza,wambea,story sana ,kujiremba sana.
5>unaenda kuomba kazi unaulizwa uzoefu wa miaka 5 mpaka kumi? kwani ni urais uo.
6>Lazima uwe na Elimu fulani.
7>Maswali maswali eti unastail gani ya kuvaa nguo?
8>mara ulishapata mimba ngapi ukatoa?
9> Taja matusi kumi na tano unayoyajua na unayapenda? si majaribu haya?
10> Utampa nini ______________ ukipata kazi?
Me nna shida ya kazi ila nmeacha siombi tenaaaq
 
d72c76cc95cca085355d7bb432f28f3b.jpg
 
Back
Top Bottom