Sisi wote ni watoto wa baba mmoja

Sisi wote ni watoto wa baba mmoja

Isaac JK

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2012
Posts
563
Reaction score
92
sisi wote ni watoto wa baba mmoja
hizi itikadi za kidini zisitutenge na kutugawa
siku MUUMBA atakapo tuuliza sababu za kuyumba kiimani wakati MUNGU wetu ni mmoja
tutajibu nin

Ndugu zangu wakristo na waislamu tukumbuke hapa diniani tunapita
binadamu ni mavumbi na tutarudi mavumbini
hizi vita na ugonvi wa nini hebu tuthamini maisha na amani tuliyopewa na mwenyezi MUNGU

NAWAOMBA TUDUMISHE DEMOKRASIA YA KIIMANI NA TUACHE USHABIKI WA KIIMANI
 
true ..... naunga mkono mada hii kujadiliwa kwa kina
 
Sio kweli,waislam na wakristo baba tofauti.Wengine baba yao anataka jino kwa jino,ngumi jiwe,mwaga ugali mi namwaga mboga,kojolea q'n mi nachoma kanisa saba.Kwa upande mwingine baba yao yuko hv,akupigaye shavu la kulia mgeuzie na la kushoto,akikukosea msamehe,akìkuchomea nyumba ya ìbada usimchomee msikiti
 
Mkuu tatizo sio ubaba wa hawa jamaa tatizo ni madui wa hizi dini
1)ADUI NAMBA MOJA WA UKRISTO NI SHETANI
2)ADUI NAMBA MOJA WA MUISLAMU NI MAYAHUDI, MAKRISTO(watu wa kitabu), MABUDHA, MAHINDU NA list inaendelea kutegemea na location..
 
Sio kweli,waislam na wakristo baba tofauti.Wengine baba yao anataka jino kwa jino,ngumi jiwe,mwaga ugali mi namwaga mboga,kojolea q'n mi nachoma kanisa saba.Kwa upande mwingine baba yao yuko hv,akupigaye shavu la kulia mgeuzie na la kushoto,akikukosea msamehe,akìkuchomea nyumba ya ìbada usimchomee msikiti
nakuunga mkono mkuu.... pia naomba niongeza kuwa katika BIBLIA inaonyesha dalili za izi dini mbili baada ya Abraham kuzaa watoto wawili Wakwanza(1).Ishmail ambaye alizalia na kijakazi wa Sara anayeitwa Hagai - ambaye sara alimshawishi mumewe Abraham azae na huyo kijakazi kwa sababu sara hakupata mtoto na Abraham,Abraham akufanya kosa ndiyo akazaliwa Ishmail baba wa waarabu wengi-ukisoma mwanzo 25: 12-18 utaona uzao wa Ishmail wengi ni waarabu na kwa waarabu waislam ni wengi...Wapili (2).Isaka huyu alizaliwa na sara mwenyewe baada ya kuaidiwa na Mungu kuwa atapata mtoto wa kiume kupitia mumewe Abraham na atakuwa baba wa mataifa mengi ambayo MUNGU atakuwa MUNGU wao(MUNGU kwa herufi kubwa siyo mungu).. Mwazo 17:1-8, Mwanzo 21:1-5.. mwisho wa siku utaona sara anamwambia Abraham awafukuze Ishmail na mama yake kwa sababu hawawezi kushea urithi wa mtoto wake Isaka-Mwanzo 21:10.....NB:wakristo wametokana na uzao wa ahadi kutoka kwa Mungu (isaka) waislam wametokana na uzao wa mawazo ya Sara (Ishmail) Wagalatia 24:21-31kwa maelezo mengine mwaweza soma Ishmael and Isaac au http://answers.yahoo.com/question/index?qid=20090803135330AArGlS8i Samahani sana kwa hadithi ndefu!!!!
 
sisi wote ni watoto wa baba mmoja
hizi itikadi za kidini zisitutenge na kutugawa
siku MUUMBA atakapo tuuliza sababu za kuyumba kiimani wakati MUNGU wetu ni mmoja
tutajibu nin

Ndugu zangu wakristo na waislamu tukumbuke hapa diniani tunapita
binadamu ni mavumbi na tutarudi mavumbini
hizi vita na ugonvi wa nini hebu tuthamini maisha na amani tuliyopewa na mwenyezi MUNGU

NAWAOMBA TUDUMISHE DEMOKRASIA YA KIIMANI NA TUACHE USHABIKI WA KIIMANI
imeandikwa "heri mpatanishi....."lakin pia ni mhimu kuweka ukweli bayana wakati upatanishi,pia ni mhimu kudumisha amani kwa kudumisha uhuru wa kuabudu na kuheshimiana na kupendana maana upendo huleta ustahimilivu,huvumilia.lakini ukweli ni huu,ukristo na uislam ni dini mbili tofauti kabisa zenye kuamini tofaut,kwa kifupi allah na Yehova ni tofaut kabisa,issa bin marium na Yesu kristo mnazareti ni tofauti.kinachofanya ionekane zinafanana wengine wamekop na kupest mambo wasiyo yafaham vzur ivo kupelekea kupotosha
 
Back
Top Bottom