Super Handsome
JF-Expert Member
- Jul 16, 2013
- 3,846
- 6,439
Hivi Mkuu FF ni nani hasa? Kunakipindi humu ooohh huyu alikua mbunge yani maneno mengi, any clue?Amekuingiza cha kiume huyo
Hivi Mkuu FF ni nani hasa? Kunakipindi humu ooohh huyu alikua mbunge yani maneno mengi, any clue?Amekuingiza cha kiume huyo
Kwahiyo wazanzibari ndiyo wenyeji halisi wa dsm? Ndicho unacho jaribu kusema sio? Na kwanini historia hii haiwekwi bayana? ( Hapa usianze kuhorojeka kumtupia lawama Mwl.Nyerere) Tusaidie facts sisi vijana kiazazi cha mzee mwinyi/mkapa!Sultan wa Zanzibar. Kumbuka Dar yenyewe ni part ya Zanzibar.
Kihistoria wabantu ni wageni (wakuja) pwani ya Afrika Mashariki, walipokuja walikuta wenyeji. Jiulize ni akina nani hao wenyeji kama wabantu ni wakuja?
Nakushauri, soma.Kwahiyo wazanzibari ndiyo wenyeji halisi wa dsm? Ndicho unacho jaribu kusema sio? Na kwanini historia hii haiwekwi bayana? ( Hapa usianze kuhorojeka kumtupia lawama Mwl.Nyerere) Tusaidie facts sisi vijana kiazazi cha mzee mwinyi/mkapa!
Duuuuu kumbe ni jiji la kiislamTunapowaenzi Wazaramo tusisahau pia kuwaenzi Wazanzibari kwani Sultan Majid wa ZANZIBAR ndiye alilianzisha jiji la Dar Es Salaam.
Kumbuka: Jina la Dar Es Salaam linatoka kwenye Qur'an 6:127
Dar hainaga mwenyewe🏻🏻
Mzaramo asili Yake ni mkoa wa Pwani wala siyo DSM!
Duuuuu kumbe ni jiji la kiislam
yaani mlichotufanya sio kizuri...mmetufukuza mjini...wachache tuliokaza tumebaki kuwa makondakta na madalali.......Habari wana JF
Hawa watu ni watu wema kabisa, wametukaribisha Dar es Salaam wengine wazazi wetu wakija na matongotongo kwa kauli ya Hayati Ditopile Mzuzuri. Nafikiri ni wakati wetu kurudisha fadhila, kuzienzi mila zao (siyo mdundiko, kigodoro na kucheza mwali) bali mila nzuri na pengine kuwa na kumbukizi ya zaramos
Kama unauona umuhimu huu basi tupia wazo lako, vinginevyo tulia tu sabuni bei gali utamaliza mapovu
Dada angu hebu nenda kasome tena hapo uliposoma halafu uniambie Dar es salaam imetajwa wapi.Tunapowaenzi Wazaramo tusisahau pia kuwaenzi Wazanzibari kwani Sultan Majid wa ZANZIBAR ndiye alilianzisha jiji la Dar Es Salaam.
Kumbuka: Jina la Dar Es Salaam linatoka kwenye Qur'an 6:127
Dada angu hebu nenda kasome tena hapo uliposoma halafu uniambie Dar es salaam imetajwa wapi.
Poleni sana mkuu,ila nacheka tu kwa jinsi ulivyowasilisha malalamiko yako.yaani mlichotufanya sio kizuri...mmetufukuza mjini...wachache tuliokaza tumebaki kuwa makondakta na madalali.......
usicheke mkuu ..yaani tumebaki tunawaita wa kuja...halafu mfukoni mnatukimbiza na ikibid tunawapiga vizinga....sie zetu ujanja ujanja tu na kula bangePoleni sana mkuu,ila nacheka tu kwa jinsi ulivyowasilisha malalamiko yako.
Bofya: Faidika na darsa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa - JamiiForumsHivi Mkuu FF ni nani hasa? Kunakipindi humu ooohh huyu alikua mbunge yani maneno mengi, any clue?
Una ugonjwa wa kukataa na kuona aibu mkoa na kabila unalotokaDar hainaga mwenyewe🏻🏻
Mzaramo asili Yake ni mkoa wa Pwani wala siyo DSM!
Alikua ni MzanzibarHuyo Sultan Majid alikuwa Mzanzibar au Mu Oman aliyekuja kuitawala Zanzibar na watu wake?