Sisi tunasuasua kujenga DAR-CHALINZE highway, Uganda wanajenga kuliko NAIROBI-THIKA SUPERHIGHWAY

wewe ndio umesema, watu wengi humu wana matatizo na ni wabinafsi kupita hata hao viongozi wa CCM wananowachukia, kusema ukweli likija kwenya swala la barabara hakuna mtu anayetufikia ktk hizo nchi zote za AM nimesafiri sana Kenya mpaka Turkana nimefika, hakuna barabara kabisa, sisi karibu nchi yetu yote inaunganishwa na lami, lakini watu wa JF wanataka tu waone flyovers Dar ndio waridhike, kama sio ubinafsi ni nini? Kwani sisi serikali yetu ingesema hatujengi barabara mikoani tunajenga flyovers Dar wangeshindwa?

Ingekia ubinafsi na rushwa havijatawala, flyovers zingejengwa dar pamoja na majiji mengine na bado barabara za kawaida pia zingeendelea kujengwa sehemu nyingine.
 
Tatizo ni crics wengi kutosafiri ndani ya nchi hii.

Mimi mdau wa safari. HataKenya wanakubali kuwa kwa barabara Tanzania ni kiboko.
Hivi ninapo tuma posti hii naona kwenye dashbodi dereva anaminya 120kph, Singida-Dodoma, huku mi naandika kwenye ipad.

Safirini muone nchi inavobadilika.

NB mnaotoka kipande hii kuna mvua kubwa inanyesha in th distance.

Mkuu nakubaliana na wewe! Juzi juzi nilidrive from Dar to Ngara, ilikuwa nzuri sana. Bara bara zimeboreshwa sana. Unaweza tumia saa mbili Singida to Dodoma. Ila utatumuia masaa hadi manne from Chalinze to Ubungo! Kichachozungumziwa hapa ni kila sehemu iwe na barabara zinazoaccomodate mazingira husika.
 
ahhhh wanaJF acheni 'maurongo' yenu........tuko vema kwa barabara east africa nzima. Am confident about that. Hapa natokea MOSHI nasepa kuelekea MWANZA mambo murua kabisa......barabara safiiii

tujipongeze kwa hatua kidogo tulofikia then tupeane mawzo namna ya kusonga mbele
 
Thika rd.jpg

Thika rd2.jpg

Uhuru highway.JPG

Kwa uchache hizo ndio barabara za jiji la Nairobi zinazoendelewa kujengwa, lakini watanzania tukumbuke kuwa katika Afrika Mashariki sisi ndio tuna mtandao mkubwa zaidi wa barabara na pia tumefanikiwa kujenga kilomita nyingi zaidi (5,130 Km) kuliko nchi zote za ukanda huu, Kenya ni 2,318 Km za lami mpaka sasa zilizojengwa. Pamoja na kuboronga kwenye mambo mengi lakini kwa barabara hakuna wa kutukuta isipokuwa kwenye barabara za majiji makuu.
 

Attachments

  • Highway_COWI_P5_high.jpg
    Highway_COWI_P5_high.jpg
    22.9 KB · Views: 62
very silly!! nilishawadelete kwenye kichwa changu, so far najua sina rais, najitawala mwenyewe!!


Are u sure madam? Hujui rais anawashika mabovu na vitu vyenye ncha kali vinavyozunguluka vyenyewe?

Chezeya Presid
 
Ingekia ubinafsi na rushwa havijatawala, flyovers zingejengwa dar pamoja na majiji mengine na bado barabara za kawaida pia zingeendelea kujengwa sehemu nyingine.

Acha kuongelea vitu ambavyo havipo, ni sawa na mtu anayesema ningesoma vizuri leo hii ningepata kazi, hiyo sentensi haina maana kwa maana ukweli ni kwamba sasa hivi hauna kazi, sasa mambo ya ninge hayabadilishi chochote!

Hivyo kwa halisi ya Tanzania kwa sasa hamna huo uwezo wa kufanya hayo unayoyaongelea ya kujenga br Mikoni na pia maflyovers, uchumi wa Tanzania ni Dola bil 23, tuko zaidi ya watu mil 40, huo ni uchumi mdogo sana kufanya hayo, hivyo kila nchi ina inachagua mambo ya kuyapa kipaumbele, Wakenya wao na Waganda wamechagua kujenga flyovers Nairobi na Kampala na kupuuzia mikoani, sisi tumeamua kutojenga flyovers Dar na badala yake kujenga br nchi nzima!

 
Are u sure madam? Hujui rais anawashika mabovu na vitu vyenye ncha kali vinavyozunguluka vyenyewe?

Chezeya Presid
Mkuu achana nao hao, ni kama kichaa aliyejiharishia na anapita mitaani akijisifu kwa usafi!
Just ignore them.
 
View attachment 72121

View attachment 72122

View attachment 72123

Kwa uchache hizo ndio barabara za jiji la Nairobi zinazoendelewa kujengwa, lakini watanzania tukumbuke kuwa katika Afrika Mashariki sisi ndio tuna mtandao mkubwa zaidi wa barabara na pia tumefanikiwa kujenga kilomita nyingi zaidi (5,130 Km) kuliko nchi zote za ukanda huu, Kenya ni 2,318 Km za lami mpaka sasa zilizojengwa. Pamoja na kuboronga kwenye mambo mengi lakini kwa barabara hakuna wa kutukuta isipokuwa kwenye barabara za majiji makuu.

Hi takwimu za kiccm ndo sizitakagi. Niko dar nafanya shughuli zangu zote dar. Kutoka city centre hadi kimara ni bora kwenda entebbe na kurudi. Afu unan'tajia namba namba ambayo hayanisaidii

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Hi takwimu za kiccm ndo sizitakagi. Niko dar nafanya shughuli zangu zote dar. Kutoka city centre hadi kimara ni bora kwenda entebbe na kurudi. Afu unan'tajia namba namba ambayo hayanisaidii

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Ndo watu wasio na akili ya kijisaidia wenyewe.

Hebu tueleze mkuu, na chakula unachokula mjini DSM unalima mwenyewe?
Au kina kuja kwa ndege toka Entebbe?

Jitahidi kuwa thinker, achilia mbali kuwa Greti Thinka!
 
Ndo watu wasio na akili ya kijisaidia wenyewe.

Hebu tueleze mkuu, na chakula unachokula mjini DSM unalima mwenyewe?
Au kina kuja kwa ndege toka Entebbe?

Jitahidi kuwa thinker, achilia mbali kuwa Greti Thinka!

Pole mkuu! Siku hizi Nmeacha kujadiliana kubishana na watu wa ccm. Serikali hii porojo nyingi hakuna vitendo mji unanuka foleni.

Mungu akubariki kwa kujibandika u-gr8 thinker!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Hi takwimu za kiccm ndo sizitakagi. Niko dar nafanya shughuli zangu zote dar. Kutoka city centre hadi kimara ni bora kwenda entebbe na kurudi. Afu unan'tajia namba namba ambayo hayanisaidii

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Kwanza hizo barabara wanazojisifia nyingi zimejengwa na wahisani na pili hazina viwango kabisa. Sidhani hata kama zitadumu
 
Barabara moja muhimu sana inayotakiwa kujengwa, tena kisasa kabisa, na kwa vision (muono) ya mbali ni ya Dar - Chalinze.

Barabara hii siyo tu unaunganisha jiji la Dar Es Salaam ambalo ni kitovu cha uchumi, na mikoa karibu yote ya Tanzania, lakini pia inaunganisha bandari ya Dar na nchi za jirani kama Zambia, Malawi, Congo, Burundi, n.k
 
Pole mkuu! Siku hizi Nmeacha kujadiliana kubishana na watu wa ccm. Serikali hii porojo nyingi hakuna vitendo mji unanuka foleni.

Mungu akubariki kwa kujibandika u-gr8 thinker!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Mkuu unsjidhihirisha kuwa weak in thinking.
Facts hazina chama, facts will remain to be facts.
Kunipa pole haikusaidii sana kueleza upande wako wa argument hii,if anything inaonyesha kutokuwa na hoja kwa upande wako.
 
Back
Top Bottom